Habari ndugu zanguni.
Nina mtaji wa laki 2
Kama kuna mtu anaishi Toangoma tushirikiane, mimi makazi yangu ni Toangoma tufanye biashara ambayo anadhani tunaweza kuifanya vema kwa mtaji huo. Mimi si mwenyeji hivyo kwa mwenyeji itakua vema zaidi sababu anayajua mazingira yake vema.
Uzuri ni lizuri kwel na ana big tako miguu minene na sura nzuri sio kama wazungu wengine wabovu. Maana hata binti zake wazuri kwelikweli kama mama yao. Ni mtu mzima miaka 69 ila yupo kama ana miaka 40.
Nimeanza wasiliana ndio toka na miaka 18.
Yeye ndio alianzisha mawasiliano nami. Nimemjua kupitia jamaa yangu msomali mtanzania anayeishi huko
Mimi ni msomali kwa baba na mama mtanzania.
Ah sikua hata na mawazo ya kwenda ughaibuni. Zaidi naye hakuwahi nitamkia maneno ya kwenda huko wala mapenzi ila alikua akinisifia mnoo..nami nilichukulia tu amependa kunisaidia. Alikua akinisapoti tu kimaisha.
Niliamini kutoboa hapahapa nyumbani lakini naona siku zinaenda tu mradi zinaenda...
Habari wakuu.
Nisiwachoshe na maneno mengi. Nimebahatika kuwa kwenye urafiki na huyu mama/bibi wa kizungu kwa miaka 10 sasa.
Amekua akinisaidia hapa na pale.
Sasa anataka tuwe wapenzi na mimi niende kwake. Anaishi na mabinti zake wawili. Mabinti wamekubali uhusiano na kuubariki.
Pia anataka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.