Recent content by Huliza

  1. Huliza

    JamiiForums Tanzania Press ya kwanza ya Lissu baada ya kutoka jela, itakuwa na kishindo kikubwa sana na kuna watu wazito wanaweza kuvuliwa nguo

    Hivi ni vichekesho Mkuu,Mama yako asingekuwa kibaka na mropokaji basi Mzee wako asingeweza kumtoa bi.....ra na wewe ukazaliwa Mama yako angekuwa kimya bila kujibu lolote(kutoropoka) mpaka leo angekuwa na bi....ra yake Sasa wewe unatofauti gani na Mama yako?wewe ni bingwa na lazima utakuwa...
  2. Huliza

    JamiiForums Tanzania DOKEZO PreGE2025 Lissu aondolewa Keko. Anapelekwa wapi?

    Mmh
  3. Huliza

    JamiiForums Tanzania CCM: Chama changu semeni kwa nini hatutaki tume huru ya uchaguzi

    Mmmh
  4. Huliza

    JamiiForums Tanzania Kwa miaka mingi watu wengi tulidhani Mikka Mwamba ni jamaa fulani jeusi la Kigoma kumbe jamaa ni chapa ya Trump kabisa

    Kuna kigezo cha Sample space mkuu? Large enough sample space inaanza na namba ngapi na kuishia namba ngapi? Small enough sample space inaanza na namba ngapi na inaishia namba ngapi? Usipende kufanya vitu rahisi complicated kwenye jamii Penda kuishi na kuchukulia mambo kama jamii husika...
  5. Huliza

    JamiiForums Tanzania Klabu ya Simba imesaini mkataba wa bilioni 38 na Kampuni ya JAYRUTTY mzabuni wa utengenezaji Jezi

    Eeeh Amber rutty FC Kutoka kolo mpaka kuwa Ambe rutty FC Sasa mnatekenywa
  6. Huliza

    JamiiForums Tanzania Je? Peter Msechu huandaa nyimbo kabla mtu hayajamfika,Ashusha wimbo kumuga Boss wa Tanesco aliyefariki

    Watu wengi wamehoji uhusiano wa Msechu na muitikio wake wa haraka kuimba nyimbo kwenye misiba ya ghafla Je ? Anaombwa kutunga mapema au mwenzetu ana jicho la tatu la utambuzi wa mambo yajayo yasionekana Nyimbo zake huwa ni ndefu na sio rahisi kuzikariri kwa siku moja au mbili Je hizi nyimbo...
  7. Huliza

    JamiiForums Tanzania Yanga SC 8-1 Stand United FC | CRDB Bank Federation Cup | KMC Stadium | 15.04.2025

    Incomplete Info Taja muda ,Starting time ya match
  8. Huliza

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Makalla: Nikiangalia Vyama vya Upinzani ni kama havipo

    Nikimwangalia jamaa ni kama mgonjwa,Au ule mwili ni wa kawaida Watu wamshauri kiafya hayuko sawa huyo katibu Ziara anazofanya zaweza mletea tatozo la presha ,Ule mwili sijui kama yupo sawa jamaa Anajitoa ufahamu kwa ule mwili wake ilibidi awekeze kwenye afya yake sana sio mambo ya uchaguzii...
  9. Huliza

    JamiiForums Tanzania Peter Kibatala: Upeo wa Polisi kufikiri umefikia hapo, tunawafundisha ukamataji mtuhumiwa kwa vitendo kila wakati Mahakamani

    Mwanasheria wa Tundu lissu ndugu Peter kibatala amesisitiza siku ya kukamatwa kwa Tundu lissu na yeye alikuwa Songea. Aidha kibatala anasema ukamatwaji wa Tundu lissu ni wa kihuni na ni utekaji kisheria,Zile video zipo na zinaonyesha polisi walichofanya lakini siku zikiletwa mahakamani...
  10. Huliza

    JamiiForums Tanzania Dkt Slaa:Tume yenye ya uchaguzi na mkurugenzi wa uchaguzi hawana Maadili.Je ,Unawezaje kumsikiiliza mtu asiye na Maadili?

    Wana ccm wenyewe wanataka Tume huru,Kama sio chawa sahau u ubunge
  11. Huliza

    JamiiForums Tanzania Chadema kupeleka saini 15 milioni umoja wa mataifa ni kutekenya mbuzi, Umoja wa Mataifa hauna nguvu ya kuingilia maamuzi ya ndani ya nchi

    Mkuu fanya kazi,,JF hakuna malipo hapa,Umri wako unakimbia Utaanzisha mada usiku na mchana,kumbuka umri unakimbia ,Utajenga familia yako lini? Usipoteze muda sana hapa JF wengi wanajuta
  12. Huliza

    JamiiForums Tanzania Naomba nieleweshwe, Chadema wanapata faida gani wasiposhiriki uchaguzi?

    Usikufuru hujui ya kesho unaweza ukapata ajali mbaya na hiyo mikono yako ikashindwa kuandika daima na ukashuhudia mabadiliko kabla ya 2050 ukiwa kwenye wheel chair daima Be careful mkuu,Usijitoe sana ufahamu kisa siasa,Wewe ni binadamu tu ,Hujui hata nusu saa mbele nini kitakukuta
  13. Huliza

    JamiiForums Tanzania Dkt Slaa:Tume yenye ya uchaguzi na mkurugenzi wa uchaguzi hawana Maadili.Je ,Unawezaje kumsikiiliza mtu asiye na Maadili?

    Dkt slaa amesisitiza maadili sio maneno wala maandishi,Maadili ni matendo Aidha Dkt Slaa amesisitiza misimamo ya wananchi juu ya mabadiliko ipo mioyoni mwao huwezi kuiondoa maono ya mioyo ya watu kwa vitisho Kwa matendo ya hovyo ya Tume ya uchaguzi katika uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka...
  14. Huliza

    JamiiForums Tanzania Hizi ndio taasisi zilizoanzishwa na Hayati Benjamin Mkapa. Umejifunza nini?

    Mmh mpaka RTC unaifahamu kweli wewe muhenga
Back
Top Bottom