holoholo
JF-Expert Member
- May 10, 2023
- 2,534
- 4,320
Wakuu!
Majira ya saa 10kamili jioni ya leo, Mabingwa watetezi wa kombe la CRDB FEDERATION CUP,YOUNG AFRICAN SC Leo watashuka katika dimba la KMC kuwakaribisha STAND UNITED ya mkoani shinyanga katika hatua ya mtoano ya robo fainali.
Ni matokeo ya aina moja tu ndiyo yanahitajika katika mchezo huu,ushindi pekee utakao iwezesha timu moja kusonga mbele katika hatua ya nusu fainali.
Fuatana nami sako kwa bako kukuletea yanayojiri mubashara kupitia uzi huu.
Vikosi vya timu zote mbili
16' Gooal - Aziz Ki
20' Gooal - Kibabage
32' Goooal - Chama
41' Goooal - Chama
49' Goooal - Msenda
61' Gooooal - Aziz Ki
63' Gooooal - Aziz Ki
67' Gooal - Aziz Ki
87' Goooal - Musonda
Dakika 2 zimeongezwa
FT | Yanga SC 8-1 Stand United FC
Majira ya saa 10kamili jioni ya leo, Mabingwa watetezi wa kombe la CRDB FEDERATION CUP,YOUNG AFRICAN SC Leo watashuka katika dimba la KMC kuwakaribisha STAND UNITED ya mkoani shinyanga katika hatua ya mtoano ya robo fainali.
Fuatana nami sako kwa bako kukuletea yanayojiri mubashara kupitia uzi huu.
timu ya wananchi
Vikosi vya timu zote mbili
20' Gooal - Kibabage
32' Goooal - Chama
41' Goooal - Chama
49' Goooal - Msenda
61' Gooooal - Aziz Ki
63' Gooooal - Aziz Ki
67' Gooal - Aziz Ki
87' Goooal - Musonda
Dakika 2 zimeongezwa
FT | Yanga SC 8-1 Stand United FC