Recent content by Huendi mbinguni

  1. H

    Wasifu wa Dkt. Philip Isdor Mpango

    Uraia kwanza wajameni. Unajua wacongo si wapiga kazi wao starehe sanaaaa
  2. H

    Penzi lake la mikosi kwangu

    Ok pole Duttu japo jaribu tena kua na subira
  3. H

    Penzi lake la mikosi kwangu

    Una hakika gani kama yy ndo 7bu?na nimikosi gani?
  4. H

    CHADEMA kuomba kibali cha kuuaga mwili wa Mawazo mahakamani

    Tofautisha kifo cha deo na mawazo, japo vyote ni vifo. But deo aliagwa dar na ludewa
  5. H

    TANZIA Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Geita, Alphonce Mawazo auawa kikatili mjini Katoro

    Mwenye habari kamili tafadhari twaomba asimlie kwa kirefu zaidi. Inauma sana mbona nchi tumewaachia au wanataka tuanze na Zanzibar???
  6. H

    Madanguro yamekithiri isipokuwa sehemu hizi.......

    Hivi ni kweli unaweza mfumua mwanaume mwanzako marinda???
  7. H

    Madereva wa Malori wamefunga Barabara ya Morogoro, baada ya mwenzao kupigwa risasi na mwajiri wake

    Isambe take care kauli zako. Je wajua thamani ya binadamu mwenzio?. Au tayari umejiongeza???. Huyo kijana wa KTM anaitwa Hussein jesha, amini ni mkorofi mno amekua akiwatesa sna wafanyakaz wake
  8. H

    Nina mimba ya rafiki wa mume wangu, nifanyeje?

    Mmmh.. Ngoja waje wataalam wa hizo mambo
  9. H

    Familia ya CDF Mwamunyange: Yupo nje ya nchi kwa majukumu ya Kitaifa

    Hawajitambui na kuujua umhimu wa cdf ktk nchi hii
  10. H

    TANZIA Mch. Christopher Mtikila afariki baada ya kupata ajali, Msolwa - Chalinze mkoani Pwani

    R I P. Mbele ako nyuma etu. Pumzika kwa amani japo hujafanikiwa kumuona raisi ajae!
  11. H

    Wanawake wote wanajiuza ila kila mmoja hutumia njia yake tu ya kujiuza!!

    Tuheshim mawazo yake muddy na ikiwa katumia maneno makali arekebishwe na c kuanza kumtolea lugha kali. Uhuru wa mawazo
  12. H

    Kumbe naibiwa

    Ndo maana mie cku zote nimekua naishi huku nkiamini naibiwa ili hata cku ikitokea nictafute presha za ajabu.japo nampenda
  13. H

    Majimbo sita ya ubunge yako wazi!

    Mufindi kaskazini mbona hamjaitaja
Back
Top Bottom