Hao jamaa mimi sijui ila kuna hawa jamaa wa kitanzania wanalipa vizuri ukicheza games na kushinda na uki referrer friends na kuandika makala nzuri yenye manufaa kwa jamii.
Katika pita pita yangu kwenye mitandao kujifunza kuhusiana na masuala ya mapenzi nikakuta makala moja inafundisha namna ya kutongoza binti mrembo na kumpata bila shinda chukua time isome halafu utoe neno hapa JF Isome hapa
Kuna wakati unakuwa una mawazo mengi hata wengine wanadhani kuondoa mawazo hayo ni kutumia pombe au mawada ya kulevya kama bangi, Hiyo sio njia sahihi kwani utaongeza mawazo zaidi baada ya kufanya maovu/uhalifu kutokana na ulevi.
Jaribu kutumia njia hii ya kucheza games itakusaidia. Unaweza...
sasa hata gharama za uzalishaji bado hujajua je uta bagaign vipi bei na mteja? mteja akikuambia umuuzie sh.4,000 kwa lita au kilo na umpelekee dar utakubali? Fanya utafiti kwanza ujue gharama zako hata kwa makadilio
What is Umaphology? inatolewa wapi course hiyo. Dogo asipende short cut nenda Advance upanue wigo zaidi. Wapo walio kwenda diploma ya civil engineering wakitokea direct kidato cha nne lakini baadae wakajikuta wamejipunguzia uwanja wa kucheza kwenye ajira.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.