Recent content by HSIRAJI

  1. HSIRAJI

    Ushauri kuhusiana na masuala ya mizimu!

    Kwann aongee na mzimu wa kizungu badala ya kuongea na mizimu ya asili yake?
  2. HSIRAJI

    Msaada: Nahitaji kufahamu gharama za kusafirisha Container (empty) kutoka China mpaka Tanzania

    Tatzo kwenye shipping unalipa by CBM huo mzgo ni Bora utafute hapa hata la m4
  3. HSIRAJI

    Kero: IGP tuondolee Askari wa Usalama Barabarani Tabata, wamekua kero na kusababisha Foleni kwa faida yao.

    Askari nchi nzima wanaenda barabarani wakiwa na malengo binafsi na Kuna commission wanapekeka mahali jion wakitoka barabarani ndo maana imekuwa kwao halali so kama nchi watolewe wote barabarani zifungwe camera Sent from my CPH2239 using JamiiForums mobile app
  4. HSIRAJI

    Watu wanaoonyesha maburungutu ya hela mitandaoni bila kuonyesha chanzo wapigwe marufuku?

    Endelea kutoa macho hvo hvo kwenye Dp haya maisha hayana part 2 kwahyo ukipata Dili pita nalo hakuna pesa nyingi bila risk haijalishi ni nn unarisk so ukiona risk unaimudu pita nayo
  5. HSIRAJI

    Kwanini wahindi wengi posta na kariakoo hufungua maduka Yao saa tatu asubuh hadi saa nne na kufunga saa kumi na moja

    Sikia maisha ni ratba zako tu wahindi wengi wanachelewa kuamka na akiamka ibada na chai ndo aje kqzini, jion ni kuogopa hatar ya kuporwa NB: kulala sana haikufanyi kuwa masikini ikiwa aiathiri biashara yako
  6. HSIRAJI

    Kwenye hii dunia hakuna mtu aliyejiajiri, kila mmoja ameajiriwa

    KUJIAJIRI,,, be your own boss unapanga ratiba unaweza acha majukumu Kwa mtu bila maelezo yoyote KUAJIRIWA, pangiwa ratba hata mke wako akiumwa lazma boss ajue, ukianza kuharisha lazma utoe taarfa
  7. HSIRAJI

    Nahisi nimenyewa, Mambo yangu yote hayaendi

    Pole sana na kipindi kigumu unachoptia ongeza uvumilivu Kidogo Kwa Sasa nchi nzima mzunguko wa pesa umekuwa mgumu hasa kama mtu wa mishemishe( Dili) so ww ndo unajua vzuri Hali Yako angalia na kama unataka kwenda Kwa sangoma basi nakushauri usubr Kwa siku 90 Toka Sasa namaanisha kuanzia mwezi wa...
  8. HSIRAJI

    Msaada: Toka May 2023 hadi sasa sijapata passport, nimeambiwa mimi sio mtanzania

    Ni kwel lakn ingekuwa mwanzo ukasema msukuma na ukawa unajua Cha kuzugia usumbufu unapungua lakn ukisema unatoka kigoma,ngara,kabanga,tunduma,sirari, aiseee utapgishwa route mpka utoe chochote all in all hii nchi jitahidi uwe na connection tu.
  9. HSIRAJI

    Msaada: Toka May 2023 hadi sasa sijapata passport, nimeambiwa mimi sio mtanzania

    Hii nchi hi nakumbuka passport nilijaziwa hapo hapo uhamiaji HQ na date of issue ulikuwa ijumaa na sku hyo hyo jion akanitumia picture haijamalizwa printiwa jtatu asubuh nikapewa, Nb: officer mmoja alijichanganya kutaka kunizoea kunihoji Nika piga simu alitukanwa moja mpaka nikamuona hawez...
  10. HSIRAJI

    DOKEZO Gharama za kuegesha gari Hospitali ya Muhimbili ni kubwa na zinaumiza

    Ili kuepuka wanapark alafu wanaenda kwenye shughuli zao mjni ni wakati wa kutoka waombwe list za malipo ya huduma na iwe free Kwa atae kuwa ni mgonjwa ambae Hana list ndo alipie hyo gharama
  11. HSIRAJI

    Kataa kabisa urafiki au mahusiano ya kawaida na Askari Polisi

    Anaelipia Nan hzi bia? Au anaeombwa ombwa hela ni Nan?
  12. HSIRAJI

    Mdogo wangu Shetta naomba nikukumbushe kitu muhimu sana " Mtoto wa kike huwaga ni mzuri sana kwa baba akiwa bado haja vunja ungo"

    Japo bandiko lako unataman Qayla aishie vbaya lakini Sioni sababu ya kumfanya shetta ashndwe kuwa baba Bora et kisa Kuna ma Binti wengne wamekengeuka, Kila mtu alee mtoto Ake Kwa nafasi yake na position yake mtoto akikengeuka baadae Hilo ni jukumu lake binafsi lakn baba atakuwa aliupga mwngi...
  13. HSIRAJI

    Huu uchawi nilikuwa siujui hadi siku ya jumapili iliyopita

    Angalia Hilo mtu chake bhna kiongozi hawa binadamu sio wazuri
Back
Top Bottom