Askari nchi nzima wanaenda barabarani wakiwa na malengo binafsi na Kuna commission wanapekeka mahali jion wakitoka barabarani ndo maana imekuwa kwao halali so kama nchi watolewe wote barabarani zifungwe camera
Sent from my CPH2239 using JamiiForums mobile app
Endelea kutoa macho hvo hvo kwenye Dp haya maisha hayana part 2 kwahyo ukipata Dili pita nalo hakuna pesa nyingi bila risk haijalishi ni nn unarisk so ukiona risk unaimudu pita nayo
Sikia maisha ni ratba zako tu wahindi wengi wanachelewa kuamka na akiamka ibada na chai ndo aje kqzini, jion ni kuogopa hatar ya kuporwa
NB: kulala sana haikufanyi kuwa masikini ikiwa aiathiri biashara yako
KUJIAJIRI,,, be your own boss unapanga ratiba unaweza acha majukumu Kwa mtu bila maelezo yoyote
KUAJIRIWA, pangiwa ratba hata mke wako akiumwa lazma boss ajue, ukianza kuharisha lazma utoe taarfa
Pole sana na kipindi kigumu unachoptia ongeza uvumilivu Kidogo Kwa Sasa nchi nzima mzunguko wa pesa umekuwa mgumu hasa kama mtu wa mishemishe( Dili) so ww ndo unajua vzuri Hali Yako angalia na kama unataka kwenda Kwa sangoma basi nakushauri usubr Kwa siku 90 Toka Sasa namaanisha kuanzia mwezi wa...
Ni kwel lakn ingekuwa mwanzo ukasema msukuma na ukawa unajua Cha kuzugia usumbufu unapungua lakn ukisema unatoka kigoma,ngara,kabanga,tunduma,sirari, aiseee utapgishwa route mpka utoe chochote all in all hii nchi jitahidi uwe na connection tu.
Hii nchi hi nakumbuka passport nilijaziwa hapo hapo uhamiaji HQ na date of issue ulikuwa ijumaa na sku hyo hyo jion akanitumia picture haijamalizwa printiwa jtatu asubuh nikapewa,
Nb: officer mmoja alijichanganya kutaka kunizoea kunihoji Nika piga simu alitukanwa moja mpaka nikamuona hawez...
Ili kuepuka wanapark alafu wanaenda kwenye shughuli zao mjni ni wakati wa kutoka waombwe list za malipo ya huduma na iwe free Kwa atae kuwa ni mgonjwa ambae Hana list ndo alipie hyo gharama
Japo bandiko lako unataman Qayla aishie vbaya lakini Sioni sababu ya kumfanya shetta ashndwe kuwa baba Bora et kisa Kuna ma Binti wengne wamekengeuka, Kila mtu alee mtoto Ake Kwa nafasi yake na position yake mtoto akikengeuka baadae Hilo ni jukumu lake binafsi lakn baba atakuwa aliupga mwngi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.