Tengaa sana,
Mrangi wa itololo, but siishi dar
Nipo mbeya kwenye utafutaji rizki.
Elimu kidogo ipo (diploma)
Age 33
Kipato cha kawaida.
If you are interested for more particulars, warmly welcome.
Mchana majukumu mengi mkuu!
Ndio nimepata mda wa kuperuzi wakati nacheki BBC hapa.
By the way mimi ndio natakiwa niwe muoga maana naishi mwenyewe na nyumba ni kubwa.
Au wew hata maneno yanakukosesha usingizi?
habari wana jukwaa,
Natumai sote ni wazima wa afya njema, na poleni kwa wenye changamoto za aina mbali mbali.
Mimi ni kijana mwenye takribani miaka 32 kwa sasa.
Nina changamoto ya vitu ndani ya mwili wangu ambavyo nahisi inawezekana kuwa ni jini mahaba.
Baadhi ya changamoto nilizo nazo kwenye...
Habari wana jukwaa.
Kuna binti anahitaji kazi za ndani (nyumbani)
Sifa:
Umri miaka 30
Dini mkristo
Mwenyeji wa Tanga
Pia kuna kijana anahitaji kazi ndogondogo. Kwa anayehitaji tuwasiliane.
Asante
habari wana jukwaa
nauza vitabu vifuatavyo
1. business accounting 1 (11edition)
2. computing essentials
3. human and economic geograpgy. (advance level)
4. basic french (a course for beginners)
5. financial accounting (4th edition)
6. fundamentals of chemistry 3(3th edition)
7. biology (life on...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.