Hivi mbona katika jamii forum watu wengi mnawasakama sana Kikwete na Mwinyi tu,katika kila kitu,mbona hoja mnazoleta hazina hata miguu,kuna ushaidi wa hili?au mambo mnayomsingizia huyu jamaa?.mbona mjomba wenu alipokua anajipa mali za umma mlikua hampigi kelele au mbona hakuna hata hoja moja ya...
Hivi kwanini watu wengi sana bado wana mawazo ya kizamani kwamba wao ndio wasomi na wengine hawakwenda shule.hivi mliokwenda shule mbona mnaongea humu jf bila data za kisomi,hakuna fact,mipumba mitupu.kama nynyi ndio wasomi wenyewe basi naisikitikia sana Nchi yangu Tz .Elimu yenu ndio...
Tatizo letu hapa ushabiki wa siasa tumeanza hivi karibuni katika siasa muda ni kitu muhimu sana jinsi chadema wanavyochelewa ndivyo ccm na rais wao anavyozidi kujimalisha ni ndivyo watu wengi wanapopoteza hamasa ya kushiliki .Kenge usipende kuropoka kama umekunywa maji ya ****** nili umenisikia...
Mbona viongozi wa chadema wapo kimya kuhusu uchaguzi uliopita hii inatufanya sisi watu tunaofatilia maswala ya siasa tuone kwamba ccm hawakuvuvuzela matokeo yoyote na ushindi wao ulikua makini tu,kwa viongozi kutoa tamko rasmi kuhusu uchaguzi itatusaidia kuanza kujipanga upya miaka mitano na...
Jamani wanajamii naomba tujiunge pamoja kumsaidia Rachel,naona adhabu aliyopewa ni kubwa sana na ukizingatia kuna hadi mawaziri wana vyeti feki na wanapeta mtaani,sitetei makosa ya mwalimu lakini hii ni mbaya sana,invisible naomba ufatilie hili,Mwanakijiji kaanzi inabidi katembelee mahakamani...
Yap Godwine siasa nzuri uchumi mzuri,itakua raisi kujua ni nani mtendji mzuri wa kazi za umma,kwa mfumo wa sasa raisi anakua kama mungu anachaua kila mtu mwisho kiranja wa shule atachagulia na raisi.
waziri mmoja anatumia #I $million kwa mwaka,je 16 ?manaibu wao na makatibu .wizara tano nyingi sana.vipi jamaa hawa wakistaafu wanalipwa kiasi gani?.pato zima la nnchi linatumika kulipa viongozi tu.
MFUMO WA SIASA---Tanzania ni sehemu ndogo sana ila ina serikali kubwa sana,ni fedha nyingi sana zinatumika kuwalipa Mawaziri,naibu mawaziri na makatibu.kwa mtazamo wangu tunatakiwa tuwe na wizara zisizozidi tano .wizara ya ulinzi,wizara ya mambo ya nnje,wizara ya mambo ya ndani,wizara ya...
Asante sana Mheshimiwa Raisi wetu wa jamuhuri ya muungano kwa hotuba yako ya mwaka mpya,mimi kama mwananchi naomba nikujibu baadhi ya mambo uliyoeleza kwenye hotuba yako,na nitajibu kama ifuatavyo-
(1)CCM NA CUF ZANZIBAR.
Mh.Rais tatizo la Zanzibar linaweza kuleta matatizo makubwa...
Tatizo ni kwamba Rais anashidwa kufanya kuwajbisha watendaji kibao ambao wanaimaliza Bongo na ushaidi upo kwa baadhi ya watendaji wake kuwa mafisadi,ruswa,kutumia mali za umma vibaya .kwa mtaji huo hafai kabisa kugombea urais,tunataka mchapa kazi ammbaye atahakikisha hakuna mafisadi,na watu...
Jamani bwawani hotel inapigwa bei kuna uwezekano wajanja wakainunua kwa bei ya kutupa kabisa ,ivi kama watu 300 tukichanga $3000.00 kila mtu si tunaweza kununua badala ya kuwachia wajanja ambao watainunua kwa dola laki moja au chini ya hapo ,kama watu tupo tayali tufanye mambo itakuwa ni kitega...
kwa utaalamu wangu nimegundua kuna matatizo makubwa matatu katika upinzani.
1-viongozi wengi wa upinzani ni ccm.chama hiki kimefanya kazi kubwa sana kuhakikisha vyama vya upinzani kuna mamluki wa ccm,na ndio maana kila upinzani ukija na mikakati fulani ccm wanapata habari na kuzima...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.