Acheni Uchochezi wa ajira ya huyu dada, kwani akiachishwa kazi utapewa nafasi yake? Nyani kweli haoni kundule hivi TBC ni chombo cha CCM au Taifa? Mbona mwandishi alivyoruka leading story ya gazeti la Majira hukumsema?
Ama kweli akili ndogo ni shidaaaa.
Hivi mpaka kikundi cha uhalifu kama huu kifikie hatua hiyo serikali ilikuwa likizo au? Tunao wanausalama kila kona ya nchi yetu wanafanya kazi gani? Kwa kweli hii inaonesha ni kwa jinsi gani Serikali yetu isivyo makini kwa Usalama wa Watu na Mali zao.
Ushauri: Usalama uwasake hawa vijana na...
Unapoingia katika mkakati wa kudhalilisha kiongozi wa serikali unakuwa umeiweka roho yako rehani, kuweni makini, alisema.
Haya maneno ni mazito sana na yana viashiria vya kuteswa na kuuawa kwa waandishi wa habari hapa nchini. Atatuambiaje
Maswali tu au kuna walichofanya?
Uhuru wa Habari uliopo kwenye katiba yetu ya sasa uko wapi? Ibara yote ya 18 ya katiba yetu inatoa uhuru wa mawazo/maoni sasa hawa wanatumia kigezo gani kumkamata mwananchi kwa sababu ya kuhoji au kuuliza maswali?
Tunakoenda sio kwenyewe.
Unaposema HakiElimu hawana lolote una maanisha nini? Utajuaje kama sio Mh. Mbatia ametumia sehemu ya Utafiti huo wa HakiElimu kuibua hoja hiyo Bungeni? Ninavyo wafahamu HakiElimu mimi ni kwamba hawakurupuki na wanapofanya tafiti zao wanaandaa ripoti ambayo wanawashirikisha wadau mbalimbali wa...
Nalazimika kuamini kuwa uwanja huu umeingiliwa na wanafunzi wa sekondari za kata, hivi mwenye macho anaambiwa tazama? Je, kama madiwani hao walifukuzwa kwa sababu za Rushwa, ubadhilifu na utovu wa nidhamu kwa kuvunja miiko ya chama watabembelezwaje? CDM ni chama makini kinachojali utaratibu na...
"Mh Slaa aka Dr Slaa ni daktari wa theolijia" Sifa za uwanja huu wa Critical Thinkers ni pamoja na kuwa na uhakika na unachokitoa kwa wanajamvi. Nasikitika sana kuwa unajaribu kuchambua taaluma ya Dr. Slaa wakati huna details za taaluma yake. Kwa taarifa tu Mh. Dr. Slaa ni Daktari wa sheria na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.