Duh haya bwana jamaa ndo kaja kistail hio kwnye maisha coz maisha magumu ww jiulze huo unabii kapewa na nani na ametajwa kweny ktabu gani na kwann akitoa hzo huduma analipwa wakubwae kuweni macho nabiii wa mwsho alsha kufa
Haya bwana waachie wajiachie c unajua firauna alijiita muungu na alcho wkt wa kutoka roho akataka kukubali kama yy so mungu lkn muda ulisha isha na had leo ni sehemu ya makumbusho. So waach hao maanak na hao wanao wafuata mamwehu hv mungu anakula mungu anaoga mungu anakunywa mungu anajsaidia...
Ki kawaida nafasi zkitokea kwa upande wa znz taarfa znafkia kwa masheha wao wanatangaza kwa watu wao na wanatoa barua ww unaenda nayo wlayan ukiwa navyet vyako na utapata maelekezo mengne huko pia kw upand wa bara nafas zna kuja wlayani had kwenye tarafa unafuata hao viongoz wako na utapewa...
Sawa jiuliz hv nani anatoa jua mashark kila cku hv nani anaeyajaz na kuyatoa maj baharn kla cku hv kwa nn tunakufa wkt tunapnda sanai maisha hv ukiiumwa mbona unakua unalegea sana nani anae kuumisha sawa inabd ufkir huu ulimwengu haukuja tu bali uliletwa ok kama haukubali mm naamini iko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.