Recent content by horobo

  1. H

    Wasomi mpo?

    Wote wasomi hao
  2. H

    Akili zingine shida asee

    Hio safi
  3. H

    Tupia majina ya sehemu ambayo ukiyasikia huwa unacheka

    Weza rohoyo pemba Nyuma ya mti pemba
  4. H

    Hotuba ya Kihistoria ya huyu Bwana Harusi

    Sio mbaya c imekua
  5. H

    Wauswazi wenzangu, mnakumbuka matani? Twende, twendee, twendeee

    Twende twendee mikono kama kuni ya nyongeza
  6. H

    Hatari: Mwisho wa Dunia October 2017

    Kwahio mwsho wa dunia ndo unaltwa na hao wanasayansi
  7. H

    Tanzania kushiriki kuishambulia IRAN

    Duh boy haya masihara hv usa atoe mafuta kwa tz au atusamehe alau madeni anayo tudai mkuu hii haipogo
  8. H

    Group za Whatsaap Ni shidaa

    Duh mengne yako poa had unapata taarfa mbali mbali bla ya kuangalia tv au magarzet au kuckiliza vidio lkn mengne yapo kitoto tu so lkikushinda jitoe
  9. H

    Alikotokea Nabii Frank Julius Kilawah wa Shilo Ministries

    Duh haya bwana jamaa ndo kaja kistail hio kwnye maisha coz maisha magumu ww jiulze huo unabii kapewa na nani na ametajwa kweny ktabu gani na kwann akitoa hzo huduma analipwa wakubwae kuweni macho nabiii wa mwsho alsha kufa
  10. H

    William Wanyonyi: Binadamu anayejiita Mungu na Kuabudiwa kama Mungu

    Haya bwana waachie wajiachie c unajua firauna alijiita muungu na alcho wkt wa kutoka roho akataka kukubali kama yy so mungu lkn muda ulisha isha na had leo ni sehemu ya makumbusho. So waach hao maanak na hao wanao wafuata mamwehu hv mungu anakula mungu anaoga mungu anakunywa mungu anajsaidia...
  11. H

    Kujiunga na Jeshi la Wananchi 2014/2015

    Elewa lzm upitie jkt
  12. H

    Kujiunga na Jeshi la Wananchi 2014/2015

    Ki kawaida nafasi zkitokea kwa upande wa znz taarfa znafkia kwa masheha wao wanatangaza kwa watu wao na wanatoa barua ww unaenda nayo wlayan ukiwa navyet vyako na utapata maelekezo mengne huko pia kw upand wa bara nafas zna kuja wlayani had kwenye tarafa unafuata hao viongoz wako na utapewa...
  13. H

    Nakaribisha maswali kuhusu Tiba / Dawa

    Mkuu naomba unisaidio ckio langu linakua linafavuma na pia lna uma kwa waktcmmoja naomba jb
  14. H

    COINCIDENCE: Moja ya ushahidi wa uwepo wa Mungu

    Sawa jiuliz hv nani anatoa jua mashark kila cku hv nani anaeyajaz na kuyatoa maj baharn kla cku hv kwa nn tunakufa wkt tunapnda sanai maisha hv ukiiumwa mbona unakua unalegea sana nani anae kuumisha sawa inabd ufkir huu ulimwengu haukuja tu bali uliletwa ok kama haukubali mm naamini iko...
  15. H

    Nabii Frank Kilawa unatutishia maisha!

    Wajnga ndiwo mliwao huyo ni nabii wa nani ameteremka duniani na ktabu gani kueni na akli banaa
Back
Top Bottom