Acha uongo,usiongee vitu usivyovijua,mm nina washkaji zangu kibao ni maengeners,lawyers,accountants teachers allmost all professionals wamepitia kanembwa na bulombola wamehenya sana kwenye ukuruta na sasa hv wamekatwa mabogi ya mtabila,mgulani,mbweni,kimbiji na MMJKT wanasubiri usaili wa kwenda TPDF na baada ya.kuhenya todd kwa muda wa miezi minne ndi wengine wanaweza kubaatika kwenda minduli moja kwa moja au kwenda level three ya todf kabla ya kwenda monduli.jipange brother hakuna kwenda monduli moha kwa moja mpaka uhenye kwenye uzalendo,ukuruta na userviceman.for more info pm me
Ahsante kwa analysis nzuri, umemwondoa tongotongo mtoa mada.