Kwa ufaulu wake akichagua hivyo MUST, DIT au ATC atalipiwa ada na kula bure
inakuwa grant wala sio mkopo kama ạtajaza hizo form zao kama ataenda kama
private anaweza pata mkopo japo sijui utaratbu mikopo ya dip
Computer science tu hamna kingine japo ningekuwa mimi saivi ningeenda uhasibu, make huku uwe engineer, daktari nk. mhasibu lazima akukalishe. Labda kama ana maidea ya kutengeneza kampuni yake sio kuajiriwa au aajiriwe sio bongo.
Kama anataka kuwa mnyama kwenye practical ATC, kama anataka kumeza prac kidogo
na theory sana aende DIT na kama anataka GPA safi na afaulu kiulaini aende MUST
mpendwa Samia kama utapata bahati ya kwenda the hague kwenye detention yao
unauhakika wa kula milo mitatu tena iliyo pangiliwa kitaalumu kwa virutubisho vizuri.
Hata kipindi cha break ukiwa mahakamani utapewa msosi na huku usalama wako ukiwa
umehakikishiwa sio kama huku Samia kipenzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.