aliyemfikusha ad apo alipo ndo anamfaaa mumeA ndo mwenyewe coz inaonyesha alikupenda kwa dhati ad kujitoa pesa zake kukusomesha chuo so uyo ndi sahihi kwako.one day utajutia coz wsnawake wengi wakisomeshwa mwisho wa cku huwasalit wspenz wao so b carefully
serikali iangalia kwa jicho la pli.
mana wengine ad tufike vituo tulivyopangiwe cku mbili za kulala njian cku ya tatu nafika kuripot so mgomo umeharibu kila kituuuuu
for sure ni kweli wanawake wengi waliosomeshwa na maboyfriend wao bada ya kufanikiwa wanawasahau wale waliowapa maarifa.nawahate sana wanawake wenzangu wanaolimbukia maisha ya chuoni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.