Kikubwa nahic ni uhuru uliopitiliza wa habari na kujieleza hii inapelekea kuwa na vitu vya ajabu kweli sasa wasimamizi wanaona kama ni kitu cha kawaida kwa sababu dunia ya sasa ndio inataka hivyo kumbe sasa hiyo sio kwa wote .
Karibu jf wewe utapewa jina la junior.Junior ni wale watoto tundu,,ukikaa kwenye kochi kama wewe ni mgeni utakoma ubishi.
Ni kweli jf ina watu smart ila naona kama kwa sasa wamejichimbia mahali,,sasa hivi mada zipo za kawaida sana tofauti na zamani..ukitoa zile za kisiasa au habari mbalimbali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.