Recent content by HOPEfull

  1. H

    Hivi yale makelele ya Mgao wa Umeme na Sukari kuadimika yameishia wapi?

    Tunataka na bei nayo ya umeme ishuke watu wanunue majiko ya umeme wapikie.Then tunaenda kwenye gesi.
  2. H

    LATRA mabasi kuondoka saa 9 usiku ni usumbufu na mzigo wa wananchi

    Hebu fafanua kidogo.Naona unapigwa za uso.
  3. H

    Mamelodi vs Esperence, Mechi Imesimama Radi Kali Uwanjani

    Baada ya mechi na yanga Mamelodi ilitakiwa wajitoe kulinda heshima yao Sasa ubishi umewajaa.
  4. H

    Huyu Mwanajeshi aliyekuwa akihutubia leo si ndiyo yule muuza madafu wa Ikulu, au?

    Yaani utoke makondeko huko ukauze madafu state.
  5. H

    Huyu Mwanajeshi aliyekuwa akihutubia leo si ndiyo yule muuza madafu wa Ikulu, au?

    Nawapongeza wabongo mpo vizuri kwenye media.
  6. H

    Huyu Mwanajeshi aliyekuwa akihutubia leo si ndiyo yule muuza madafu wa Ikulu, au?

    Mbona hujaweka na picha bana!!? Kiko wapiii
  7. H

    Bei ya luku ishuke, viwanda vifufuliwe, wananchi wapikie majiko ya umeme kuzuia uharibifu wa mazingira

    Siwaelewi hapo.Yaani bwawa halina control system..mi sio mtaalam huko.
  8. H

    Mwananchi waomba radhi baada ya wananchi wengi kupiga kura ya kuridhishwa na Sera za Uchumi za Magufuli dhidi ya marais wengine

    Mods rekebisheni kichwa cha habari kianze 'gazeti la mwananchi' na sio mwananchi'.
  9. H

    Kwa sasa kuishi Dar es Salaam ni utumwa na mateso makubwa mno

    Na hizi mvua ni hatari tupu huko.
  10. H

    Wazo la kufungua barabara ya Makambako to Mlimba

    Mlimba ni moja ya eneo Tanzania Lina mazingira magumu Sana..huko alikuweza mchina tu na reli yake.Tatizo uchumi.
  11. H

    Nimeona picha za wahudumu wa treni ya kisasa ya SGR ambayo inafanyiwa majaribio leo kutoka Dar -Dodoma

    Hivi mizigo kama tenga za nyanya inaruhusiwa humo.??!
Back
Top Bottom