Recent content by HOPEfull

  1. H

    Basketball: USA kapewa upinzani mkali na South Sudan

    Labda warefu sana.
  2. H

    Hatimaye nimejiunga JF, naamini nitaona yale niliyo yatarajia

    Kikubwa nahic ni uhuru uliopitiliza wa habari na kujieleza hii inapelekea kuwa na vitu vya ajabu kweli sasa wasimamizi wanaona kama ni kitu cha kawaida kwa sababu dunia ya sasa ndio inataka hivyo kumbe sasa hiyo sio kwa wote .
  3. H

    Hatimaye nimejiunga JF, naamini nitaona yale niliyo yatarajia

    Karibu jf wewe utapewa jina la junior.Junior ni wale watoto tundu,,ukikaa kwenye kochi kama wewe ni mgeni utakoma ubishi. Ni kweli jf ina watu smart ila naona kama kwa sasa wamejichimbia mahali,,sasa hivi mada zipo za kawaida sana tofauti na zamani..ukitoa zile za kisiasa au habari mbalimbali...
  4. H

    Dar: Vijana wanne wadaiwa kutekwa wakiwa kwenye party Juni 20, 2024, hawajulikani walipo mpaka sasa

    Hili suala naona sasa kama linachafua nchi. IMEKUWA KAMA NDIO MTINDO SASA.
  5. H

    SGR hodi hodi Dodoma, masaa matatu unusu umefika

    Inalipa hiyo treni au badae tunampa mwekezaji..???!!!
  6. H

    Nyomi katika mikutano ya mwenyekiti CCM, robo 3 ni watu wake katika msafara. Hesabu hii hapa

    Yaani mtu unaweza kuwa na matatizo lkn ukashangaa unacheka tu bila sababu.
  7. H

    Huu utaratibu wa kitanda kimoja mke na mume umetokea wapi?

    Kataa ndoa mko wapi kuna point huku.
  8. H

    Ratiba ya Ngao ya Jamii 2024.

    Hapo costal anaonewa tu ngao cup ilitakiwa yanga na azam.
  9. H

    Nawezaje kuachana na mwenza wa miaka mingi tuliyezaa watoto 5 pamoja?

    Hata mi nashangaa five children si mmeshakuwa wazee.
  10. H

    Nahisi mume wangu anatoka na house girl wetu…

    Msaidizi wa kazI za ndani zooote.kama hufanyi kazi ya kuajiriwa muondoe huyo binti.
Back
Top Bottom