Recent content by Honory Haule

  1. Honory Haule

    Mjadala wa Mipango ya Maendeleo kwa Jimbo la Kigamboni

    Taarifa ya kinachoendelea katika utekelezwaji wa vipaumbele vilivyopitishwa katika mradi wa TUSHIRIKISHANE kwa jimbo la Kigamboni. Mikakati ya kuboresha huduma za afya jimbo la Kigamboni, serikali kupitia wizara ya afya mwishoni mwa mwaka 2016 iliipatia halmashauri ya Kigamboni gari la kubebea...
  2. Honory Haule

    Mjadala wa Mipango ya Maendeleo kwa Jimbo la Kigamboni

    Taarifa ya kinachoendelea katika utekelezwaji wa vipaumbele vilivyopitishwa katika mradi wa TUSHIRIKISHANE Mpango juu ya matengenezo ya kipande cha barabara ya kutoka darajani hadi kwa Msomali kwa kiwango cha lami Taarifa rasmi hadi hivi sasa ni kuwa fedha ya mradi imeshatengwa ambayo ni...
  3. Honory Haule

    Mjadala wa Mipango ya Maendeleo kwa Jimbo la Kigamboni

    Taarifa ya kinachoendelea katika utekelezwaji wa vipaumbele vilivyopitishwa kuingia katika mradi wa TUSHIRIKISHANE. Taarifa ni kuwa kwa maeneo yasiyo kwenye mtandao wa umeme vijijini (REA) awamu ya tatu (Phase III) yaani maeneo kama vile Tundwi songani,Kimbiji, na Kisarawe II yapo mbioni...
  4. Honory Haule

    Mjadala wa Mipango ya Maendeleo kwa Jimbo la Kigamboni

    Sehemu ya Taarifa juu ya kinachojiri katika utekelezwaji wa vipaumbele vilivyopitishwa katika warsha ya ufunguzi wa mradi wa TUSHIRIKISHANE. Taarifa ni kuwa ifikapo mwezi Januari mwaka 2017 Kigamboni inategemea kupata kivuko kingine ambapo jumla kufanya idadi ya vivuko kuwa vitatu. Hii ikiwa...
  5. Honory Haule

    Mjadala wa Mipango ya Maendeleo kwa Jimbo la Kigamboni

    MRADI WA TUSHIRIKISHANE JIMBO LA KIGAMBONI: Taarifa fupi ya Maendeleo ya mradi Wa tushirikishane katika jimbo la Kigamboni. Yapata mwezi mmoja sasa yangu kuzinduliwa kwa mradi Wa tushirikishane unaoendeshwa na jamii media katika majimbo kadhaa...
  6. Honory Haule

    Mjadala wa Mipango ya Maendeleo kwa Jimbo la Kigamboni

    Muda sio mrefu tutaanza kupata updates za kutosha juu ya kile kinachoendelea juu ya utekelezwaji Wa ahadi zilizopitishwa katika warsha ya tushirikishane.. tupo kwenye kuzichakata taarifa....ucjali ndugu
  7. Honory Haule

    Hillary Couldn't Stop Crying, Told Friend She Blames Comey and Obama For Loss

    Hapo Hillary hana budi kukubali kilichotokea ingawa kampeni zake zilikuwa za ushawishi lakini wapiga kura wake wamemuangusha sana...lakini nadhani ni wakati Wa republican kuhodhi nguvu ya madaraka.
  8. Honory Haule

    Mtu asiyejulikana agawa fedha jijini Dar

    Cku zote vya bure vina gharama...cha bure ni pumzi ya uhai tu aliyotupa mungu
  9. Honory Haule

    Mjadala wa Mipango ya Maendeleo kwa Jimbo la Kigamboni

    Kigamboni ni moja kati ya maeneo yanayokua kwa kasi hapa nchini Tanzania ,kila uchao eneo hili hupokea idadi kubwa ya wakazi na wawekezaji wapya hivyo kupitia vipaumbele hapo juu kwa kuvitekeleza kwa wakati na kupitia mradi huu wa Tushirikishane naamini jimbo hili litapiga hatua kubwa sana...
  10. Honory Haule

    Tatua Utata...

    ....Hivi kati ya mamba na kiboko nani kiboko!?
  11. Honory Haule

    Leo nimemkumbuka sana yule bingwa Wa rivasi..

    ....hivi simba na mkali nani chui!? ....kinondoni na gongo La mbali wapi mboto!?
Back
Top Bottom