Liwe fundisho kwako na mke wako kumuachia mtoto aangalie movie za wakubwa. Movie zinakuwaga na umri umeandikwa Kwa sababu kama hizi. Watoto wadogo hawatakiwi kujua mambo ya mapanga panga. Si ulitaka dume katili basi amekufanyia huo ukatili, hongera.
Aisee nimecheka! Imagine mmeo anakwambia ningeweza kuwa na malaya kila siku Ila nikaamua kukuoa wewe (na anategemea umshukuru Kwa hilo) . Khaaaa! Yaani ntamuona mwanamme fala Kweli na nimekosea kuolewa nae. Nonsense!
Hizo combination zote + mwafrika nani kasema hazipo?
Combo ya Africa + wazungu Ni more common sababu ya historia (colonies) na pia lugha, Dini nk zinaendana Zaidi.
Swali, Hii Kazi za kusugua miguu imepataje kuwa kazi ya kiume hapa bongo wakati nje ya nche wengi wanaoifanya ni wanawake , hasa hawa wenye asili ya ki Asia?
Nikuambie Siri kadhaa....
Sisi wanawake tuna macho.
Macho MAWILI. Usishangae. Ni Kweli kabisa.
Miaka 26 tu atajuaje tofauti kati ya kojo la kwanza na zingine?
Macho na kumbukumbu nzuri.
Mungu alivotuumba alitupendelea sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.