Captain mopao
Senior Member
- Feb 25, 2021
- 133
- 379
Habari zenu wananchi.
Leo nimetafakari jambo moja, kwanini watu wanaotoka bara la Asia huwezi kukuta watu kutoka mataifa haya kaoa au kaolewa na Mwafrica.
☆China
☆Korea
☆Thailand
☆India
☆Nchi zote za kiarab
Lakini ni kitu rahisi kukuta Mwafrica ameoa na kuolewa na mataifa kutoka bara la Europe yani ni rahisi sana Mwafrica kuoa au kuolewa na raia kutoka.
☆America
☆German
☆Canada
☆Sweden
☆Australia
Kwanini ipo hivi?
Leo nimetafakari jambo moja, kwanini watu wanaotoka bara la Asia huwezi kukuta watu kutoka mataifa haya kaoa au kaolewa na Mwafrica.
☆China
☆Korea
☆Thailand
☆India
☆Nchi zote za kiarab
Lakini ni kitu rahisi kukuta Mwafrica ameoa na kuolewa na mataifa kutoka bara la Europe yani ni rahisi sana Mwafrica kuoa au kuolewa na raia kutoka.
☆America
☆German
☆Canada
☆Sweden
☆Australia
Kwanini ipo hivi?