Tunduru Kaskazini kuna Kata 24, 11 zimechuuliwa na CUF ambazo ni Ngapa, Tinginya, Nakapanya, Ligunga, Kidodoma, Nandembo, Nampungu, Nanjoka, Majengo, Mlingoti Mashariki. Tunduru Kusini kuna Kata 15, 3 zimeenda CUF nazo ni Nalasi Mashariki, Nalasi Magharibi na Mbati zilizobaki zote CCM. Majimbo...