Naamini iko siku serikali yetu itamchukulia,hatua huyu mchungaji sijui Nabii! Kwani sasa kaingia kwenye utapeli kwa kujificha kwenye Neno la Mungu, au afanye ziara Rwanda akakutane na mkono wa Chuma wa Kagame
Wacha kumnanga mchezaji, hiyo nu biashara yake, vipi kama angesajili Simba, ungemnanga? Kama vipi na wewe nenda ukasajiliwe, hata asipocheza mwaka mzima bado atabaki kuwa mchezaji wa Yanga, Mbona wapo waliolipwa mishahara ya mwaka mzima bila kucheza mechi yoyote
Wacha ujinga wa ukabila jitahidi kusoma kwa bidii, kuwa Msukuma kisiwe kigezo cha ajira, iko siku wataajiriwa 100% wachaga, vipi unaelimika unashindwa interview unataka uajiriwe kisa Mkurya fyoooo!
Waanzishe hata Magufuli Party, lakini imebaki historia, Mheshimiwa atakumbukwa tu kwa aliyotenda yawe mema au mabaya yote yatabaki kuwa historia na haijirudii
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.