Paulsylvester
JF-Expert Member
- Oct 15, 2021
- 1,456
- 3,382
Ni ujinga kulazimisha eti JPM hakuwahi kupendwa!
Ni wachache saana wanaoamini hivyo, na wakitaka kumsema JPM, utawaona hadi mishipa itawatoka ili waamini wanasikiwa!
Lakini wengi wa watanzania tuliomkubali mwamba, lugha ya kumsemea ni laiiini na inaeleweka!
Mpumbavu zao vyeti feki na duni.. a ambao kuishi kwao mpaka wasuke madili!
Ni wachache saana wanaoamini hivyo, na wakitaka kumsema JPM, utawaona hadi mishipa itawatoka ili waamini wanasikiwa!
Lakini wengi wa watanzania tuliomkubali mwamba, lugha ya kumsemea ni laiiini na inaeleweka!
Mpumbavu zao vyeti feki na duni.. a ambao kuishi kwao mpaka wasuke madili!