Kama hapa tu ni mwana ccm ngazi ya kitongoji tayari umeishakuwa kopo hivi na je ukifikia ngazi ya wilaya na kikawaida inafahamika utaratibu wa ccm ili kupanda daraja ni lazima uwe mbumbumbu na kilaza wa mwisho
kuja sio tatizo kabisa ila tatizo ni pale tunapokuja kibao kinageuka inakuwa ni mama mama mama kwakweli hapana mimi na mjita zangu tumekubaliana hatukanyagi huko tukisikia kelele tunafungulia radio na kisha tunazima tena
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.