Sasa na sekta nazo zitamwachia makonda ili ccm izidi Kupata credit kwa wananchi wasiojielewa na kati ya watu mia walioitaki haki kuoitia mahakama, atapata mmoja alietangazwa na vyombo vya habari kupitia makonda
Cjui nimeeleweka[emoji848]
Mpinzani akutetee kivipi wakati wewe mwenyewe autetei upinzani?! Yakija maandamano unaungana na wakatili wako, shida zikikufata unataka mpinzani akutetee,
Hivi mtajifunza lini kutafuta haki zenu bila lawama?! Kibaya zaidi mnalalamikia chooni ambako uko peke yako nani atakusikia?
Bahati mbayaa...
Mpaka hapo kwa mawazo yangu nadhani muungano ubaki tu kwa raia, kila nchi ijimiliki yenyewe, ila sisi raia tuwe free na undugu wetu,
Zanzibar iwe na uhuru wake nasi Tanganyika tuwe na uhuru wetu
Mali ya zanzibar iwe yao hata kama ni kijiko
Vivyo hivyo nasi pia
Najiona kama vile nashawishika kununua magazeti
Nakumbuka zamani nilikuwa mapita banda la magazeti makusanya karibia gazeti tano, alafu natamani nifike home nitulie nasoma moja. Baada ya moja
Nilikuwa nainjoy kiukweli
Chadema!
Kam atakuja na moto huu huu wa kujitolea kwa ajiri ya wananchi chadema panamfaa
Ila inabidi awe tayari kwa lolote lile
Kutuknwa, kudhiakiwa, kufirisiwa, kuwindwa,
Maana ukiwa chadema matajiri na mafisadi papa wote, na wajinga pamoja na wafitini watakuwa maadui zako
Wengi wameondoka...
kuna uvumi unaenezwa dhidi ya Taifa la israel na watu wake,kwa nini isiwe wale wapalestina wasiwe wapalestina halisi ?iwe kwa israel?kuna njia nyingi zajengwa ili kuwachukia waisrael,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.