Recent content by hometown

  1. hometown

    Benchika atangaza vita dhidi ya Al Ahly

    Awe makini tu maana vichwa vya mashabiki wa simba wanaijua wenyewe😀😀😀maana yanaweza kwenda na siraha na damu ikamwagika Tuwe makini na matamshi yetu
  2. hometown

    Kero zilipaswa kutatuliwa na sekta husika, siyo mwenezi

    Sasa na sekta nazo zitamwachia makonda ili ccm izidi Kupata credit kwa wananchi wasiojielewa na kati ya watu mia walioitaki haki kuoitia mahakama, atapata mmoja alietangazwa na vyombo vya habari kupitia makonda Cjui nimeeleweka[emoji848]
  3. hometown

    Watanzania tumekosa mtetezi kwenye suala la umeme, sasa tunaangamia

    Mpinzani akutetee kivipi wakati wewe mwenyewe autetei upinzani?! Yakija maandamano unaungana na wakatili wako, shida zikikufata unataka mpinzani akutetee, Hivi mtajifunza lini kutafuta haki zenu bila lawama?! Kibaya zaidi mnalalamikia chooni ambako uko peke yako nani atakusikia? Bahati mbayaa...
  4. hometown

    Chadema ni chama cha wahuni? wananchi kuitwa wajinga kisa wanamfuata Makonda ni kudhihirsha uhuni wao, wasusiwe haraka sana!

    Kwa post yako inajionesha ujinga ulionao, hata kama ulisoma ni dhaili akili huna
  5. hometown

    Je, muungano wa Tanganyika na Zanzibar upo kwa vigezo vipi?

    Huu muungano ni mfano halisi wa maisha ya mtanzania Maisha ya mtanzania hayaeleweki kuanzia siasa mpaka michezo Ni kizungumkuti tupu
  6. hometown

    Je, muungano wa Tanganyika na Zanzibar upo kwa vigezo vipi?

    Mpaka hapo kwa mawazo yangu nadhani muungano ubaki tu kwa raia, kila nchi ijimiliki yenyewe, ila sisi raia tuwe free na undugu wetu, Zanzibar iwe na uhuru wake nasi Tanganyika tuwe na uhuru wetu Mali ya zanzibar iwe yao hata kama ni kijiko Vivyo hivyo nasi pia
  7. hometown

    Hatimaye Vyombo vya Habari vya Tanzania vyajiondoa ndani ya Chungu, hebu Someni hili gazeti

    Najiona kama vile nashawishika kununua magazeti Nakumbuka zamani nilikuwa mapita banda la magazeti makusanya karibia gazeti tano, alafu natamani nifike home nitulie nasoma moja. Baada ya moja Nilikuwa nainjoy kiukweli
  8. hometown

    CCM waanza mchakato wa kumshughulikia Luhanga Mpina, awasili mbele ya kamati ya maadili CCM

    Chadema! Kam atakuja na moto huu huu wa kujitolea kwa ajiri ya wananchi chadema panamfaa Ila inabidi awe tayari kwa lolote lile Kutuknwa, kudhiakiwa, kufirisiwa, kuwindwa, Maana ukiwa chadema matajiri na mafisadi papa wote, na wajinga pamoja na wafitini watakuwa maadui zako Wengi wameondoka...
  9. hometown

    Tunisia nchi tajiri Afrika, hairuhusu hijab, kwanini?

    Kwa iyo hata jina langu la 2pak niachane nalo[emoji848]
  10. hometown

    Ukweli kuhusu Wayahudi

    kuna uvumi unaenezwa dhidi ya Taifa la israel na watu wake,kwa nini isiwe wale wapalestina wasiwe wapalestina halisi ?iwe kwa israel?kuna njia nyingi zajengwa ili kuwachukia waisrael,
  11. hometown

    Vidada vya kituruki vichafu hatari

    Babu uliokota okota vichafu chafu sio wote kama unavyomaanisha
Back
Top Bottom