Recent content by Holota

  1. Holota

    JamiiForums Tanzania Kuna anayefahamu kuhusu Mainland Group Agro Process Co. Ltd, mikataba yao na mchakato wa usaili ukoje?

    jau sana yule bib niliwahi kufanya kazi pale
  2. Holota

    JamiiForums Tanzania Kuna anayefahamu kuhusu Mainland Group Agro Process Co. Ltd, mikataba yao na mchakato wa usaili ukoje?

    kazi gani , kazi yeyote nenda kafanye ila kama ni ya warehouse usoende kufanya kimbia kuna bib mchina kule kila wiki anafukuza watu kazi nyingine nenda ila kama ni warehouse kule hutoboi
  3. Holota

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    mbona kweli mkuu vip umejuaje kama kuna pdf jingine
  4. Holota

    JamiiForums Tanzania Hii ni kazi kweli au mi ndo kazi?

    huo utapeli hilo tangazo ni fake wanataka tu utume hiyo ela utapelewe
  5. Holota

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    nimepata zile ajira za ualimu kujitolea za tamisemi kuna mtu anafanya iyo kazi vipi maslahi yake ushauri wenu wadau nisije kujichanganya niliona kuna uzi apa kwamba malipo yake ni madogo na hadi uje kupata pia ni usumbufu
  6. Holota

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    kozi gan mkuu
  7. Holota

    JamiiForums Tanzania Ushauri wenu wakuu

    we jamaa tupe mrejesho wa interview yako what happened?
  8. Holota

    JamiiForums Tanzania Ushauri wenu wakuu

    acha ujuaji jamaa , ok sawa soma iyo job description kama utakuta hata swali moja na ukitoka kwenye usaili nadhani lazima utakuja kukumbuka ushauri wangu
  9. Holota

    JamiiForums Tanzania Ushauri wenu wakuu

    umeomba ushauri nimekupa ushauri mzuri nimefanya interview zaid ya 10 nature ya mtihani ndiyo hiyo ,ila unaoneka ni mtu ambaye hautaki kuamini unauliza maswali ya kijinga sana kwamba mtu wa mathe asome nini , sawa utakapotoka kwenye interview nadhani utakuja kuleta ushuhuda na kama umesoam law...
  10. Holota

    JamiiForums Tanzania Ushauri wenu wakuu

    tena hiyo kazia kabisa mambo ya probability, ratio, age problems kiufupi soma esabu
  11. Holota

    JamiiForums Tanzania Ajira portal & utumishi ni mabingwa wa kupoteza muda wa watu

    tangazo la kazi lilisema wanataka gpa hiyo ua upper second , kama hamna bas fatilia kada za taaluma ndo huwa wanataka kuanzia upper second
  12. Holota

    JamiiForums Tanzania Ushauri wenu wakuu

    kwa nature ya mitihani ya hivi karibuni asilimia karibu 60-70 ni maswali ya kada lakni yanayobaki ni mchanganyiko wa general knowledge utaweza kukuta maswali ya hesabu, IT, science na english hata general knowledge ya nchi yako , jitahidi upitie hesabu na maswala mengine kama nilivyoyataja kwa...
  13. Holota

    JamiiForums Tanzania Maisha yamebana wakuu, natafuta kazi yoyote ya halali

    dah sijui nisemeje ila kiufupi ninafanya application ila feedback hata za kuitwa tu interview ndo changamoto , ndio maana nimeomba kwa mdau yeyote hata kazi ambayo siyo ya finance kama umesoma vizuri nilichoandika
  14. Holota

    JamiiForums Tanzania Maisha yamebana wakuu, natafuta kazi yoyote ya halali

    kwa nin unasema neno" jinga " broh , umesoma nilichoandika kweli au we umerukia kujibu tu
  15. Holota

    JamiiForums Tanzania Maisha yamebana wakuu, natafuta kazi yoyote ya halali

    nyingi wanahitaji experience au mambo ya CPA kuingia hivi hivi bila hizo vitu unaweza kutuma maombi hata 10 na usipate interview hata 1
Back
Top Bottom