Recent content by Holota

  1. Holota

    JamiiForums Tanzania Ushauri wenu wakuu

    we jamaa tupe mrejesho wa interview yako what happened?
  2. Holota

    JamiiForums Tanzania Ushauri wenu wakuu

    acha ujuaji jamaa , ok sawa soma iyo job description kama utakuta hata swali moja na ukitoka kwenye usaili nadhani lazima utakuja kukumbuka ushauri wangu
  3. Holota

    JamiiForums Tanzania Ushauri wenu wakuu

    umeomba ushauri nimekupa ushauri mzuri nimefanya interview zaid ya 10 nature ya mtihani ndiyo hiyo ,ila unaoneka ni mtu ambaye hautaki kuamini unauliza maswali ya kijinga sana kwamba mtu wa mathe asome nini , sawa utakapotoka kwenye interview nadhani utakuja kuleta ushuhuda na kama umesoam law...
  4. Holota

    JamiiForums Tanzania Ushauri wenu wakuu

    tena hiyo kazia kabisa mambo ya probability, ratio, age problems kiufupi soma esabu
  5. Holota

    JamiiForums Tanzania Ajira portal & utumishi ni mabingwa wa kupoteza muda wa watu

    tangazo la kazi lilisema wanataka gpa hiyo ua upper second , kama hamna bas fatilia kada za taaluma ndo huwa wanataka kuanzia upper second
  6. Holota

    JamiiForums Tanzania Ushauri wenu wakuu

    kwa nature ya mitihani ya hivi karibuni asilimia karibu 60-70 ni maswali ya kada lakni yanayobaki ni mchanganyiko wa general knowledge utaweza kukuta maswali ya hesabu, IT, science na english hata general knowledge ya nchi yako , jitahidi upitie hesabu na maswala mengine kama nilivyoyataja kwa...
  7. Holota

    JamiiForums Tanzania MAISHA YAMEBANA WAKUU, NATAFUTA KAZI YOYOTE YA HALALI

    dah sijui nisemeje ila kiufupi ninafanya application ila feedback hata za kuitwa tu interview ndo changamoto , ndio maana nimeomba kwa mdau yeyote hata kazi ambayo siyo ya finance kama umesoma vizuri nilichoandika
  8. Holota

    JamiiForums Tanzania MAISHA YAMEBANA WAKUU, NATAFUTA KAZI YOYOTE YA HALALI

    kwa nin unasema neno" jinga " broh , umesoma nilichoandika kweli au we umerukia kujibu tu
  9. Holota

    JamiiForums Tanzania MAISHA YAMEBANA WAKUU, NATAFUTA KAZI YOYOTE YA HALALI

    nyingi wanahitaji experience au mambo ya CPA kuingia hivi hivi bila hizo vitu unaweza kutuma maombi hata 10 na usipate interview hata 1
  10. Holota

    JamiiForums Tanzania MAISHA YAMEBANA WAKUU, NATAFUTA KAZI YOYOTE YA HALALI

    Habari wakuu, Naomba msaada wa connection ya kazi yoyote halali, hasa kwenye viwanda, maghala, site za miradi au sehemu yoyote yenye uhitaji wa wafanyakazi. Nina Degree ya Finance lakini imekuwa ngumu kupata nafasi ya kazi ya fani yangu, hivyo kwa sasa niko tayari kufanya kazi yoyote ya halali...
  11. Holota

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna faida gani kuzaa watoto hapa duniani? Mimi naona hakuna faida, ni kuletana kwenye shida na matatizo, pia kujiongezea majukumu tu

    kwa maoni yangu kwanza kuzaa sio jambo baya shida ipo pale ambapo hauna uwezo wa kuhudumia familia , apo utasababisha watoto waje kuishi maisha ambayo ni magumu sana but kama uwezo upo anzisha familia kwa sababu ni kitu ambacho tumekikuta kipo naturally watu wanazaliwa , wanakufa na cycle...
  12. Holota

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    hali ni mbaya tuombeane wakuu kuna interview nyingine ya finance managment officer sido naenda kufanya niki fail na hiyo ntaacha kwanza kufanya application
  13. Holota

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    unakumbuka swali gani mkuu
  14. Holota

    JamiiForums Tanzania Hivi cooperative officer II wana maisha kweli?

    hongera mkuu mimi not selected for oral zimefika 8 sasa kwa kweli ni huzuni
Back
Top Bottom