Recent content by Holota

  1. Holota

    Hivi cooperative officer II wana maisha kweli?

    hongera mkuu mimi not selected for oral zimefika 8 sasa kwa kweli ni huzuni
  2. Holota

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    kwa aliyefanya cooperative officer mwaka 2025 writeen interview ilikuaje wadau kwa yeyote anayekumbuka tafadhali asisite kushare chochote japo paper za skuizi hazitabiriki kabisa
  3. Holota

    Kufaulu written interview zinazosimamiwa na PSRS

    namana kwamba niliomba post ya planning officer lakni mtihan ulivyokuja wametoa maswali ya calculation za economics wengine hatuna basics nzuri za economics lakn hiyo kazi waliomba pia watu wa kozi ya economics
  4. Holota

    Kufaulu written interview zinazosimamiwa na PSRS

    wakuu sad ni kwamba jana nimefanya tena interview ya kada ya planning officer lakini kilichotokea ni huzuni not selected for oral interview sababu ni kwamba mtihani ulikuja 100% economics na sisi wengine hatuna knowledge kubwa ya economics
  5. Holota

    KERO Wafanyakazi tunanyanyasika katika Kiwanda hiki cha Mafuta Dodoma, OSHA wakija “wanavuta” kisha msala unabaki kwetu

    niliwahi kufanya kazi kwenye hicho kiwanda kuna kibibi cha kichina kipo kule warehouse za mafuta na hadware kina kisirani na dharau ukienda kufanya kazi sehem yake ukitoboa mwezi 1 we ni mwanaume kila mwezi analetwa mfanyakazi mpya ni hatari sana sitakuja kusahau
  6. Holota

    KERO Wahitimu wa Shahada ya Maendeleo, Chuo cha Mipango – Dodoma tunakataliwa kwenye usaili, kwani tumepewa Degree feki?

    kwani kwa kazi za town planner lazima uwe umesajiliwa na bodi , kama jibu ndio bas inabid kupambana kuweza kusajiliwa na bodi inayohusiana na kazi za town planner mfano hata mtu aliyesoma uhasibu akaomba kazi inayohitaji kuwa certfied na bodi asipofanya hivyo hawezi kuingia kwenye usaili lazima...
  7. Holota

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    apo badilisha weka eneo uliopo sasa kwa sababu hata vituo vya usail bado havijapangwa na pia vituo vinapangwa siku 2 au 1 kabla ya siku ya usaili
  8. Holota

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    tusaidei jinsi ya kujibu hili swali
  9. Holota

    Kufaulu written interview zinazosimamiwa na PSRS

    Wakuu habarin za muda huu Moja kwa moja niende kwenye mada nimehitim mwaka juz shahada ya finance baada ya kumaliza nilifanikiwa kufanya sail za sekretareieti ya ajira zaidi ya 6 na zingine zinazo simamiwa na tasisi zenyew mfano TRA lakin zote hizo hakuna hata moja niliyofanikiwa kwenda oral...
  10. Holota

    Naombeni kazi

    Yeap
  11. Holota

    Naombeni kazi

    Nimekucheki dm mkuu Candyscorpion
  12. Holota

    Kuna aliyewahi kufanya hii kazi za TTCL fiber wakala?

    Atupe mwongozo upatikanje wake ukoje na ishu ya malipo pia
  13. Holota

    Kuna aliyewahi kufanya hii kazi za TTCL fiber wakala?

    Wakuu naomba kuuliza Kuna aliyewahi kufanya hii kazi za TTCL fiber wakala?
  14. Holota

    Naombeni kazi

    Habari za wakati huu. Mimi ni mhitimu wa shahada ya Finance and Investment Planning. Naomba kwa heshima kama kuna fursa yoyote ya kazi hususan kwenye stationery, maduka ya jumla, warehouse, au finance and planning internship. Nipo Dodoma, niko tayari kujifunza na kufanya kazi kwa bidii...
Back
Top Bottom