Habari wadau,
Naomba kujua ni kipimo gani kinafanywa kugundua tatizo la appendix/kidole tumbo. Na gharama yake.
Gharama za upasuaji
Na hospital ipi ni nzuri kwa mkoa wa Arusha kutibiwa tatizo hilo
mi nimeuliza ili nifahamishwe sababu kila wakati nakutana nayo. . we unajibu bila kufikilia.Kama uelewi kaa kimya. sio lazima uchangie kila kinachotumwa. tumia akili..watakuja wanaofahamu au kujua watanielewesha.
nimepata taarifa za kuongezea mtoto huyo wa mtajwa hapo juu yani rafiki yangu..alizaliwa mara generally hospital. mama yake alikuwa nesi wa kambi ya ustawi wa jamii musoma. mama yake alikuwa muhaya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.