Recent content by Holehole

  1. H

    Mawakili wa JF naomba tusaidiane kuikomboa JF

    Wazonzuri sana hii platforms ni muhimu ila wasiiopenda mawazo mawazo
  2. H

    Kwa miaka 4 ya uongozi wa Rais Samia, TRA imekusanya kodi Tsh. Trilioni 120, kiwango kikubwa kuliko awamu zote kabla yake

    Hapo ndipo tunapaswa kutafakari je hii ni hali halisi tunayoiona mtaani au ni kujisifu tu Kwa makusanyo lakini mtaani hakuna kitu
  3. H

    Huyu demu wangu hapa home ananenepa ovyo ovyo nifanyaje kumdhibiti

    Muambie aache kula wanga Kwa asilimia 95 na aache kula aukari kabisa mpaka matunda yenye sujari asile
  4. H

    Hansrafael: Barua ya Simba Ina ukakasi soma hapa

    Lengo la simba ni kushusha mapato ya yanga nawaambia sumba watafika uwanjani
  5. H

    PreGE2025 Wasira: Watanzania hawana sababu ya kuichagua CHADEMA

    Je hizo ndiyo sababu zake za MSINGI tunapaswa kuacha kuchagua Kwa mazoea tichague mtu au chama sahihi chenye uwezo wa kutatua matatizo ya MSINGI ya watanzania kama CCM au CHADEMA watatatua matatizo yetu twende na youote tuangalia uwezo wa mtu tunayemhitaji watanzania Kwa Sasa na sio Bora liende...
  6. H

    PreGE2025 Wasira: CHADEMA wakitaka kufanya fujo wanachukua vijana kutoka Tarime

    Tatizo la nchi hii watu wanachagua chama badala ya kuangalia mtu mwenye uwezo wa kumsemea matatizo yake na kushirikiana pamoja kuyatatua siku tukitoka hapo tu tuache kuchagua marafiki wasio na uwezo tichague viongozi bora
  7. H

    Tanzania yazindua Noti Mpya toleo la 2010 zenye Saini ya Waziri Mwigulu Nchemba na Gavana Emmanuel Tutuba

    Nchi hii Kwa uteuzi wa kila siku ni vyema tuondoe sahihi ya waziri
  8. H

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Nautafuta muziki wa hamza Kalala toka lini ngozi ya kitimoto ikawambwa ngoma na baba Jeni byebye
  9. H

    Naomba ushauri kuhusu changamoto hii ya mke wangu

    Sikiliza moyo wako wa ndani unakwambia Nini maana wengine ni washauri tu majibu sahihi yapo moyoni mwako
  10. H

    PreGE2025 CHADEMA itaingia Uchaguzi wa 2025 ikiwa Imesambaratika na kupasuka vipande vipande kama kioo

    Nadhani uwezo wako wa kufikiri au kutathimini issues umepungua
Back
Top Bottom