Je hizo ndiyo sababu zake za MSINGI tunapaswa kuacha kuchagua Kwa mazoea tichague mtu au chama sahihi chenye uwezo wa kutatua matatizo ya MSINGI ya watanzania kama CCM au CHADEMA watatatua matatizo yetu twende na youote tuangalia uwezo wa mtu tunayemhitaji watanzania Kwa Sasa na sio Bora liende...
Tatizo la nchi hii watu wanachagua chama badala ya kuangalia mtu mwenye uwezo wa kumsemea matatizo yake na kushirikiana pamoja kuyatatua siku tukitoka hapo tu tuache kuchagua marafiki wasio na uwezo tichague viongozi bora
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.