Serikali ingetumia data base ya sensa kwa mtu kuja na ID anapiga kura. Sijaona maana ya kujiandikisha mara kitambulisho cha utaifa, cha kupiga kura, liseni, passport na vyote vya serikali ambavyo havina suluhisho kwa jambo lingine la serikali. Simply ni kuwasumbua raia na kuliingiza taifa...
Mfano ni toch inavyokumilka, chukua mpo watu wawili umbali wa mita 100 then toch imlenge mmoja, obviously mtu wa pili ambaye hajalengwa (pembeni) ataona mwanga hafifu (joto) tofauti na aliyemulikwa centre.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.