Mbona hii kero ya foleni kwenye vituo umeanza Mara tu baada ya jamaa kuanza kazi? Halafu jamaa Ni msomi mzuri tu, mbona badala ya kutatua tatizo ndio kila mwezi linaongezeka?
Kama mtoto wa kiume una miaka 33 bado hujaoa, jitafakari.
Kwa ma slay queen Kama umefikisha 34 hujaolewa, tafuta boda boda uzae nae halafu Anza uanaharakati wa u feminist.
Ukiwa 34 hujaolewa ujue wanaume wanakuogopa.
Sisi bodaboda tunataka tuyakute kwenye vituo. Kama yapo ya kutosha halafu Handeni na Tabora Kuna uhaba tutawaelewa kweli? Mara Kuna mtu kafa kwasababu ya ukosefu wa petroli, Leo hii mchana kweupe MTU anasema mafuta yapo ya kutosha, inahitaji degree ya kiwango Cha PhD ili kunuelewa.
Brain of Africa ameshindwa kuendesha bandari. Ameshindwa kabisa kusimamia ngorongoro haadi anaitoa kwa waarabu. Brain of Africa hajui mikataba yenye Mitego, brain gani kila wanachosema waarabu yeye Ni yes yes.
Kuna haja gani ya kumjua MTU Kama huyu.
Watu wanashinda kwenye foleni ya mafuta hapa Handeni, Tanga halafu MTU mwenye PhD anakutambia mafuta yapo ya kutosheleza zaidi ya nusumwezi.
Sasa Kuna umuhimu gani wa kua na PhD. Kama watoto wadogo hata shule hawajaanza wanaona LIVE hakuna mafuta. Mwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.