Siki zote
Napenda niwafahamishe juu ya jambo hilo kama ifuatavyo:-
1. Miujiza yote ya Manabii au Mitume wanaokuwa wanahudumu kwa wakati uliopo mara nyingi kama sio mara zote hutangazwa na wale waliowaona na si Mwenyezi Mungu na Mwenyezi Mungu hutangaza miujiza ya wale Manabii au Mitume...
Kila kilichotokea ni Mpango wa Mungu na watu wengi hukosa uelewa kwa kudhani kuwa Shetani anashindana na Mungu kitu ambacho sio kweli.
Shetani alimuomba Mungu afe mwisho ili awajaribu wanadamu na Mungu alimkubalia.
Sent using Jamii Forums mobile app
1. Shetani aliumbwa na Mungu
2. Kifo kiliumbwa na Mungu
3. Uhai uliumbwa na Mungu
Uwepo wa Shetani ni mpango wa Mungu ili atupime, Shetani mwenyewe anajua na anamheshimu Mungu na Kumuogopa na watu huwa wanachanganya na kutokuelewa kuwa Shetani hashindani na Mungu bali yupo kumjaribu binadamu na...
Kama ikitokea mtu au watu hawakufikiwa wala kuijua dini kabisa hasa wale waliokuwepo kabla ya Manabii watahukumiwa kulingana na sheria na tamaduni za eneo alilopo.
N.B. kwa zama hizi sidhani kama kuna mahala dini haijafika
Ndugu yangu! Wewe sasa ndio unaleta siasa, huwezi kutofautisha Dini na siasa hata Mara moja, kwa maneno yako unajaribu kusema ukiwa kwenye siasa au uongozi usiwe na Mungu.
Hapa nilipo hakuna umeme tokea asubuhi mpaka sasa, Kuna mtu nilimuona kama kavaa koti na kadeti ya kijani na sefti buti nyeusi akisema KUTAKUWA NA MGAO MKALI SANA. Sijui alikuwa anamaana gani.
Usipende kusemasema haya maneno, Maneno hayo ni ya kweli kabisa na ni kama ndoto, hutakiwi kumwambia kila mtu, penda kumwambia Mungu wako, Mama yako na Mume wako kidogo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Namuomba Mungu akufanyie wepesi na akujaalie ndoto zako zitimie. Mshirikishe sana Mungu katika kupata Mume bora, ili ufanikishe hayo unahitaji Mume bora.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.