Recent content by hmax4

  1. H

    Msaada nasumbuliwa na jino

    Huo ndio ukweli
  2. H

    Msaada nasumbuliwa na jino

    5000-10, 000
  3. H

    Msaada nasumbuliwa na jino

    Mimi tangu nianze kutumia sijawahi kuacha maana haya madawa mengine naona ni kama matapeli,nafikiri watu hawajagundua ubora wa hii dawa, siku wakigundua ndio mwisho wa magonjwa ya meno, kuna rafiki yangu doctor ndiye alinishauri nitumie hii dawa.
  4. H

    Msaada nasumbuliwa na jino

    Mimi meno kama matano yalikuwa yanauma pamoja na kichwa lakini tangu nianze kutumia hii dawa sijawahi kupata maumivu tena na nishasahau maumivu ya meno.
  5. H

    Msaada nasumbuliwa na jino

    Tumia dawa ya meno kusafisha kinywa inaitwa sensodyne utakuja kunishukuru.
  6. H

    GE2020 Bernard Membe: Mimi sio kachero, nimegombea kuchukua kiti cha urais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania

    Watu hawamwelewi zitto, zitto huwa anaweza na akili za wapinzani ila ni CCM mzuri tu.
  7. H

    Jinsi ya kuondoa au kupunguza mafuta tumboni kwa wanawake (Vitambi vya kike)

    Angalia vizuri, nilikuwa na 85 na kwa sasa nina 65 na urefu ni 169cm
  8. H

    Jinsi ya kuondoa au kupunguza mafuta tumboni kwa wanawake (Vitambi vya kike)

    Mimi Nina miaka 3 sijala hivyo vyakula na Niko fresh, wa Masai wanakula nini? . Hayo ni mazingira tuliyojizoesha tu.
  9. H

    Jinsi ya kuondoa au kupunguza mafuta tumboni kwa wanawake (Vitambi vya kike)

    Nakufatilia mkuu, shule yako imetulia sana na kama jamaa haelewi ana lake jambo. kiufupi wanga unaohitajika na mwili unapatikana ktk makundi mengine ya chakula. Na mwili hauhitaji wanga kwa kula wanga kama tunavyofanya Ila kutoka kwa makundi mengine. Mimi mwenyewe sijala vyakula vya wanga kwa...
  10. H

    Jinsi ya kuondoa au kupunguza mafuta tumboni kwa wanawake (Vitambi vya kike)

    Ni kitabu Bora kabisa kwenye maswala ya chakula mama yangu alikuwa na sukari 17 now inasoma nane. Mimi mwenyewe sukari ilikuwa nane 8 kwa sasa inasoma 4-5 . Nina afya ya kutosha. Naakuomba usitumie dawa yoyote ni hatari kwa afya yako, asilimia 85 huwa ni ulaji mbaya tu. Nakiomba tena kama upo...
  11. H

    Jinsi ya kuondoa au kupunguza mafuta tumboni kwa wanawake (Vitambi vya kike)

    Kuna kitabu cha dkt mmoja kinaitwa sayansi ya mapishi cha boazmkumbo kinauzwa 20,000 . Mimi kimenisaidia nilikuwa na kilo 82 kwa sasa Nina kila 65 . Tatizo ni ulaji tu na tuna elimu ya uongo kuhusiana na ulaji.
  12. H

    Naibu waziri: Ulaji nyama na maziwa kwa Watanzania bado changamoto

    Ila halisababishwi na ulaji wa nyama wala maziwa hizo tetesi tu ila kisayansi hamna ushahidi na madaktari wengi wakubwa wanapinga hiyo kitu.
  13. H

    Naibu waziri: Ulaji nyama na maziwa kwa Watanzania bado changamoto

    Mkuu cholesterol haina uhusiano wowote na afya ya mwili maana mwili wenyewe unatengeneza cholesterol 80%.
  14. H

    Naibu waziri: Ulaji nyama na maziwa kwa Watanzania bado changamoto

    Nyama haina madhara na haijawahi kuwa na madhara, hiyo ni mitazamo tu ya watu na watu wanaojifanya wanajua lishe kiujanja. Mashirika ya chakula yote duniani wanashauri ule nyama na ni muhimu sana kwa mwili.
Back
Top Bottom