Recent content by hjayhals

  1. hjayhals

    Mlioko Uingereza, msaidieni huyu mama kufahamu wanawe walipo

    Ndiyo, ninavyokujibu hapa mama wa Amina kanikumbusha nimsaidie kuangalia kama kuna yeyote amesema chochote kuhusiana na uwepo wa watoto hao.
  2. hjayhals

    Mlioko Uingereza, msaidieni huyu mama kufahamu wanawe walipo

    Ni habari nzuri kuskia kwamba wamepatikana. lakini ninasikitika kwamba hadi sasa hivi March 2022 niko ofisi moja arusha na mama wa huyo binti na binti hajawasiliana na mzazi wake bado, ushauri wenye tija tafadhali kwa ajili ya kumsaidia huyu mama angalau apate kuwasiliana na binti yake. Grace...
  3. hjayhals

    IGP Sirro: CHADEMA wanamuona Mbowe Malaika hawezi kosea, ushahidi tunao

    Unaisubiria hiyo siku bado? Jinga hii. Mbowe atakuwa yuko juu ya sheria zote duniani basi kama tukiamua kuitumia akili yako.
  4. hjayhals

    Movie ya maneno ya kuambiwa ina kasoro kibao

    Nadhani Kitale ameakisi tu jamii zinazoishi maisha ya hivyo na haina maana kuwa yeye au washiriki wa tamthilia hiyo hawaamini uwepo wa Mungu, kazi ya sanaa ni kuburudisha au kuelimisha jamii, katika hii amefanikiwa kuiburudisha jamii ikiwemo wewe uliyefanikiwa kuiona tamthilia yote. Imani...
  5. hjayhals

    Msaada: Namtafuta Frank Wilfred Mushi

    Frank bado hajulikani alipo, waliopotelewa na ndugu zao watakuwa wanajua hisia hizi kwamba utamtafuta ndugu yako hadi siku utajua chochote kumhusu, liwe baya au zuri.
  6. hjayhals

    Freeman Mbowe: Rais Samia Suluhu anateswa na kivuli cha Magufuli

    Wajinga kumbe bado mpo ee? Badilikeni mfikie mahali mjue umuhimu wa upinzani katika nchi.
  7. hjayhals

    Rais Samia ni bora angesubiri kwanza achaguliwe Mwenyekiti wa CCM Taifa ndio ahutubie Bunge?

    Mimi nilifikiri rais kupitia ccm automatic anakuwa mwenyekiti wa ccm kumbe hali ni tofauti?? Anyways anayehutubia bunge ni rais wa nchi na siyo mwenyekiti wa chama.
  8. hjayhals

    Sijui Lissu yuko wapi? UN wanamlilia Magufuli kama kiongozi bora

    Hiyo ni tabia ya diplomasia, naweza pia kusema ni formality, nikumbushe lini walimsifia akiwa hai? Unastahili pole.
  9. hjayhals

    Uongo kuhusu ATCL ni tone tu kwenye bahari, Tumedanganywa mengi tu!

    Sasa kwanini tuambiwe imeleta faida wakati siyo kweli? Sasa kwanini ununue ndege nyingi hivyo bila business plan ikiwa trial na error ni nyingi?
  10. hjayhals

    "Mimi ni Mwenzenu Hapa, Sijabadilika ni Yule Yule "KaJoni" - Ni Maneno Simple, Humble and Down to Earth Yenye Maana Kubwa!

    H Hujanielewa, ninafahamu kuwa kifo ni kazi ya Mungu, hoja yangu ni usemi wa "sisi tulikupenda lakini Mungu alikupenda zaidi" kwangu mimi huu usemi hauna maana kwa sababu..... Kama wote wanaokufa ni kweli kuwa Mungu anawapenda basi pasingekuwa na mtu/kiumbe wa motoni.
  11. hjayhals

    "Mimi ni Mwenzenu Hapa, Sijabadilika ni Yule Yule "KaJoni" - Ni Maneno Simple, Humble and Down to Earth Yenye Maana Kubwa!

    Hii kauli ya sisi tulikupenda lakini Mungu alikupenda zaidi inabidi muache kuitumia maana haina maana hata kidogo. Fikiria: wote waliokufa hakuna mtu wa motoni kwa kuwa Mungu amewapenda zaidi? Tafakari.
  12. hjayhals

    Dkt. Bashiru Ally Kakurwa nina hakika 100% anaweza kuvivaa viatu vya hayati Rais Magufuli

    Hivyo viatu mmevipendea nini? Kama ni maendeleo ulikuwa ni wajibu wake kwa kutumia kodi zetu na hakuwa akitumia pesa zake za mshahara. Tanzania inataka Haki, uhuru wa watu na vyombo vya habari, demokrasia huru, upendo na siyo chuki kwa wenye nacho. Sasa vile viatu vya kazi gani maana havikuwa...
  13. hjayhals

    Lema na ndoto hizi dhidi ya Rais, sheria ifanye kazi, tumemchoka

    Bado una mashaka na ndoto za lema??
  14. hjayhals

    Uhamiaji Tanzania: Bila dhumuni la safari hakuna kupewa pasi ya kusafiria (Passport)

    Ukiskia hoja zisizo na mashiko ndo hizi sasa, kwamba hati ya kusafiria unapewa kisha unaitumia only once (kwa sababu ulizowapa) then ukirudi unawarudishia? Aaaargh! Haya tuseme nimewaambia naenda kutembea tu, mtakuwa huko ninakoenda kuthibitisha kuwa safari yangu ilikuwa ya matembezi peke yake...
  15. hjayhals

    Janga la Corona limempaisha Rais Magufuli kisiasa

    Kwanza kabisa acha uongo kusema wamemuunga mkono, kisha ujue kama Australia wameipitisha na wanaitumia basi tulia, "AstraZeneca" itatumika ulaya yote wakimaliza uchunguzi wao wa kisiasa, na kwa taarifa yako hakuna nchi ya africa yenye uwezo wa kuikataa chanjo wenye dunia yao wakiamua. Turudi...
Back
Top Bottom