Msaada: Namtafuta Frank Wilfred Mushi

Msaada: Namtafuta Frank Wilfred Mushi

Mhm!namjua mkaka alikua anaitwa frank mushi ila jina lake la katikati ndo clijui,alimalza chuo 2011 nadhani ndo huko mzumbe{cna uhakika sana ila alikua graduate},alifariki kwa ajali ya gari na tumemzka mwaka jana mwezi huo huo unao usema wewe kijijin kwao masama-kilimanjaro.

NI MWEUPE MAANA KUNA FRANK MUSHI TULIGRADUATE WOTE 2011,KAMA NI YEYE BASI NI BAD NEWS KWANGU.KINACHO NIFANYA NIWE NA WASIWASI NI MWAKA HUO ULIOUTAJA.
 
mwaka wa saba huu bado kijana hajapatikana
 
Frank bado hajulikani alipo, waliopotelewa na ndugu zao watakuwa wanajua hisia hizi kwamba utamtafuta ndugu yako hadi siku utajua chochote kumhusu, liwe baya au zuri.
 
Back
Top Bottom