Movie ya maneno ya kuambiwa ina kasoro kibao

Nafikiri hao MANENO YA KUAMBIWA wana afadhali. Kuna wajinga flani wanaonesha Starswahili kila siku kuanzia saa3 usiku(ni wahindi) wanakera sana kuwaangalia
Movie zao zote kuanzia MANUU, RAZIA hadi ya sasa GANGAA wanakera sana kuwaangalia
Yaani we acha tu.
 
Kuna movie ya kibongo iitwayo MANENO YA KUAMBIWA ambayo inaonyesha mtunzi wake ni Kitale, ina kasoro kibao. Kasoro kubwa ni kupotosha na kudumaza akili za watu weusi kuwa kila tatizo linaweza kutatuliwa na mganga wa kienyeji, katika mtiririko wake unaonyesha kuwa watu mbalimbali wakipatwa na matatizo kisha wakamwendea mganga wa kienyeji shida zao hutatuliwa na hakuna panapoonyesha kuwa mganga aliwahi kushindwa, kitu ambacho sio sahihi. Ajabu ya mwaka movie hii haimpi Mungu nafasi inayotakiwa.

Madhara ya mtizamo huo wa mtunzi ni kudumaza watu weusi akili kudhani Waganga wa kienyeji ndio suluhu ya matatizo katika jamii. Aidha kudhoofisha imani za watu kwa Mungu wa kweli, Mungu aishiye milele.

Madhaifu mengine ni mambo yasiyo na uhalisia kama vile mtu kufungiwa kwenye sanduku na kisha kufukiwa kwenye shimo, halafu akiwa shimoni eti anaongea na simu na anabaki hai kwa siku kadhaa, huu ni uongo wa kiwango cha changalawe.

Sio hivyo tu, uongo mwingine ni huu; Eti mtu anakufa kwa kuchukuliwa msukule halafu akirudishwa anaendelea kuwa na akili zake kama mwanzo na kufanya tabia zile za mwanzo kama uzinzi n.k. Huu nao ni uongo kiwango cha lami, kwasababu mtu akiondoshwa kwa mtindo huo hata akirudishwa, Network lazima iwe ina search muda wote.

Uongo mwingine ungozeeni wenzangu mliokwisha kuangalia movie hiyo.


Location

Waigizaji wote kumtumia mganga mmoja tu.

Mwisho wake pia haueleweki
 
Kuna movie ya kibongo iitwayo MANENO YA KUAMBIWA ambayo inaonyesha mtunzi wake ni Kitale, ina kasoro kibao. Kasoro kubwa ni kupotosha na kudumaza akili za watu weusi kuwa kila tatizo linaweza kutatuliwa na mganga wa kienyeji, katika mtiririko wake unaonyesha kuwa watu mbalimbali wakipatwa na matatizo kisha wakamwendea mganga wa kienyeji shida zao hutatuliwa na hakuna panapoonyesha kuwa mganga aliwahi kushindwa, kitu ambacho sio sahihi. Ajabu ya mwaka movie hii haimpi Mungu nafasi inayotakiwa.

Madhara ya mtizamo huo wa mtunzi ni kudumaza watu weusi akili kudhani Waganga wa kienyeji ndio suluhu ya matatizo katika jamii. Aidha kudhoofisha imani za watu kwa Mungu wa kweli, Mungu aishiye milele.

Madhaifu mengine ni mambo yasiyo na uhalisia kama vile mtu kufungiwa kwenye sanduku na kisha kufukiwa kwenye shimo, halafu akiwa shimoni eti anaongea na simu na anabaki hai kwa siku kadhaa, huu ni uongo wa kiwango cha changalawe.

Sio hivyo tu, uongo mwingine ni huu; Eti mtu anakufa kwa kuchukuliwa msukule halafu akirudishwa anaendelea kuwa na akili zake kama mwanzo na kufanya tabia zile za mwanzo kama uzinzi n.k. Huu nao ni uongo kiwango cha lami, kwasababu mtu akiondoshwa kwa mtindo huo hata akirudishwa, Network lazima iwe ina search muda wote.

Uongo mwingine ungozeeni wenzangu mliokwisha kuangalia movie hiyo.
Nadhani Kitale ameakisi tu jamii zinazoishi maisha ya hivyo na haina maana kuwa yeye au washiriki wa tamthilia hiyo hawaamini uwepo wa Mungu, kazi ya sanaa ni kuburudisha au kuelimisha jamii, katika hii amefanikiwa kuiburudisha jamii ikiwemo wewe uliyefanikiwa kuiona tamthilia yote. Imani iliyojengewa misingi imara haidhoofiki kwa kuangalia tamthilia.

Madhaifu kwenye mambo yasiyo na uhalisia nayo ni sehemu ya burudani kwenye filamu hata wenzetu hollywood, bollywood, nollywood na kwingineko wanayo mengi tu lakini hutosikia mtu akikosoa bali kusifia uwezo wa waigizaji na waandaaji wa filamu.

Habari ya kuchukuliwa msukule umeizungumza vyema sana nilifikiri huamini habari hizo.
 
huba
slay queen
karma
nyavu
madhubala


ni utopolo

maneno ya kuambiwa ni uto


njoro wa uba
nganya
trhk the best kwangu from kenya
Labda tu hupendi vya kibongo bongo ila wakenya nao wako vibaya kishenz series zao. Nishaotea mara kadhaa hizo za kibongo za DSTV sanajitahidi kiukweli sema tu ni ile wabongo tunapenda kutafuta kasoro hata kama hazipo.

Wakenya wana moja inaitwa selina ni mbaya kishenzi.
 
Mtiririko wa matukio kwa kila kipande ulikuwa ni wa hovyo
 
Nafikiri hao MANENO YA KUAMBIWA wana afadhali. Kuna wajinga flani wanaonesha Starswahili kila siku kuanzia saa3 usiku(ni wahindi) wanakera sana kuwaangalia
Movie zao zote kuanzia MANUU, RAZIA hadi ya sasa GANGAA wanakera sana kuwaangalia
Sasa kwa nini unaangalia na wewe zinakukera? Tena unaangalia na unazijua majina yake na stori zake!!!
 
Kuna movie ya kibongo iitwayo MANENO YA KUAMBIWA ambayo inaonyesha mtunzi wake ni Kitale, ina kasoro kibao. Kasoro kubwa ni kupotosha na kudumaza akili za watu weusi kuwa kila tatizo linaweza kutatuliwa na mganga wa kienyeji, katika mtiririko wake unaonyesha kuwa watu mbalimbali wakipatwa na matatizo kisha wakamwendea mganga wa kienyeji shida zao hutatuliwa na hakuna panapoonyesha kuwa mganga aliwahi kushindwa, kitu ambacho sio sahihi. Ajabu ya mwaka movie hii haimpi Mungu nafasi inayotakiwa.

Madhara ya mtizamo huo wa mtunzi ni kudumaza watu weusi akili kudhani Waganga wa kienyeji ndio suluhu ya matatizo katika jamii. Aidha kudhoofisha imani za watu kwa Mungu wa kweli, Mungu aishiye milele.

Madhaifu mengine ni mambo yasiyo na uhalisia kama vile mtu kufungiwa kwenye sanduku na kisha kufukiwa kwenye shimo, halafu akiwa shimoni eti anaongea na simu na anabaki hai kwa siku kadhaa, huu ni uongo wa kiwango cha changalawe.

Sio hivyo tu, uongo mwingine ni huu; Eti mtu anakufa kwa kuchukuliwa msukule halafu akirudishwa anaendelea kuwa na akili zake kama mwanzo na kufanya tabia zile za mwanzo kama uzinzi n.k. Huu nao ni uongo kiwango cha lami, kwasababu mtu akiondoshwa kwa mtindo huo hata akirudishwa, Network lazima iwe ina search muda wote.

Uongo mwingine ungozeeni wenzangu mliokwisha kuangalia movie hiyo.
Yote kwa yote kitale alijitahidi sana SALUTE KWAKE,Now Twendeni you tube tukamsuport kwa kuangalia series yake mpya ya BINADAMU
 
Siangalii movie za kibongo ila mtoa mada ni mtu ambae ana mlengo wa kidini Kwaiy anatamn zaidi kuona muv mwisho wake matatizo yanatatuliwa kiimani za kidini lakini katika sanaa HAPANA sababu amelenga jamii ambayo inaishi kwa mfumo huo na wala sio uchawi kama imani ambazo zimepitwa na wakati pia katika utunzi kuna matumizi ya fantasia na mubalagha nk mfano apo uliposema jamaa yupo kwenye jeneza na akaongea na simu hapo hakuna ukweli ila ni jambo tu ambalo limetiwa chumvi ili kufanikisha jambo jingine.

Mwishowe matumizi ya uchawi katika muv sio kufeli kwa mwandishi husika bali ni matumizi ya uhalisia wa maisha ya mwanadamu hasa mwafrika hivyo basi mwandishi kama mwanajamii mwngn haoti bali hufanya kitu kinachofanyika katika jamii husika
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom