Kwanza nikupongeze kwa mwaka mmoja wa kuwa madarakani binafsi naona Mambo yamenyoka kidogo tofauti na Serikali ya Awamu ya Tano ambapo Uhuru wa kujieleza ulibanwa kweli kweli.
Naomba niende kwenye keep yangu.
Mh Rais sisi wakazi wa wilaya ya Mbarali kata ya Ubaruku mkoani Mbeya tunaomba...
Pingamizi limetupiliwa mbali mbona jaji wa kimkakati huyo mbowe watamfunga tu Hilo halina ubishi hata sisi tusio jua Sheria tunaona kuwa jaji yupo upande wa serikali kuwagurahisha mabosi zake alambe cheo nae hela tamu du
Ukweli ni kwamba ukiendekeza ngono zembe uwezekano wa kupata ngoma ni mkubwa nimeshuhudia watu wa kalibu yangu walio kuwa wananifanyia wao asipite demu mkali lazima wawe nae wote hawapo duniani Tena baba zangu wadogo wawili jilani watu ni wengi
Bora tutulie tu tuwaheshimu wake zetu tuache...
Ila ccm Ina vijana wa hovyo sana Kama ndio mnatumwa kuja huku mtandaoni jengeni hoja sio kupayuka payuka tu Kama wehu kumbukeni hata gadafi aliamini Libya ni yake hakuna Kama yeye lakini kilicho Baki ni story bado nyie so mnatuona watnzania mazuzu time will tell
Hivi we jamaa nazani hauko timamu kabisa sijawahi comment hoja yako ata siku moja huwa nakupuuza maana naona akili zako hazipo sawa Sasa chadema wanamhujumu VIP mama
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.