Recent content by History-Victory

  1. H

    Ndoa ya Ally Kiba shakani, Amina aomba talaka Mahakamani

    Duh basi mkuu,mtunzie siri yake.
  2. H

    Ndoa ya Ally Kiba shakani, Amina aomba talaka Mahakamani

    Mi nadhani alifuata Jina ila hakujua kuna gaharama yake..alipoanza kuilipa ndo ameona uchungu.
  3. H

    Ndoa ya Ally Kiba shakani, Amina aomba talaka Mahakamani

    Duh..huyu jamaa unamjua? Kabisa au ni mambo ya jf mkuu?
  4. H

    Kuna kijana nimemuonya mara mbili aache kuhatarisha mahusiano yangu hasikii, nimfanye nini?

    Japo chai..ila kama kweli basi wewe ni zuzu kupoteza muda wako kufuatilia upumbavu
  5. H

    Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

    Kani siku hizi bado watu wanalipia mkononi? Yaani wanampa hela trafki? Hebu fafanua hapo
  6. H

    Kwanini watu wengi wanaona aibu kununua Condom dukani/pharmacy au kwanini watu wengi huogopa kuingia lodge/guest house kuulizia vyumba?

    Aah sio kwangu mi nikifika tena nikikuta watu ndo napenda nasema kwa sauti kubwa.."KIONGOZI NIPE DUME/SALAMA" itategemea na mfuko wangu na sinaga noma
  7. H

    Kijana Usifanye Maisha na Aina hii ya Mwanamke!!

    Bwana muhimu kukojolea pazuri[emoji16][emoji16]
  8. H

    Simba 3-1 ASEC Mimosas | CAF Confederation Cup | Uwanja wa Mkapa

    Mchezaji mzuri japo body yake kidogo inamkataa ila apewe nafasi ili tuachane na yule chizi
  9. H

    Simba 3-1 ASEC Mimosas | CAF Confederation Cup | Uwanja wa Mkapa

    Ewaaa sasa kocha siku nyingine awe na akilk hizo ndo sub sasa
  10. H

    Simba 3-1 ASEC Mimosas | CAF Confederation Cup | Uwanja wa Mkapa

    Kocha fala sana Sakho katoka unamuweka mzamiru wakati Tuna Kanoute na Mkude
  11. H

    Simba 3-1 ASEC Mimosas | CAF Confederation Cup | Uwanja wa Mkapa

    Ile Sub ya Mzamiru ya hovyo sana sijui ya nini...kocha hamna hapa
  12. H

    Kijana Usifanye Maisha na Aina hii ya Mwanamke!!

    Tatizo mademu wasiokua na mambo mengi na watiifu,,huwa wa ajabu ajabu machoni mwetu hawatuvutii hapo sasa ndo tunaingiaga mkenge.
Back
Top Bottom