Basi tugawane na mapato maana inawezekana umepata kazi ya kucheza na watoto wa kizungu. Au unafanya research ya child care!?
Kuwa muwazi mkuu tukusaidie
Kwa kawaida pipa lina ujazo wa 200lts
İkiwa inlet 2hrs inajaza 200lts, outlet 3hrs, outlet kwa muda wa 2hrs itakuwa imetoa 133.3lts
Kwa hivyo in 2hrs zitabak ~66.7lts
2hrs...... 66.7lts
x......... 200lts
= 5.99 ~ 6hrs
Kila mtu utaskia Watanzania tuko hivi mwengine tuko vile, wengine sijui hatujiamini, kila mtu analaumu Watanzania kwa kutokuchukua hatua.
Mtanzania ni mimi na wewe hebu tuanze then tuone na sio kusema juu juu tu. Swali ni "tunalianzisha vipi"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.