Kila kitu isipokuwa uhai, kinawezekana kikipangiliwa vizuri.
Lkn kwa hili Sina uhakika.
Binafsi , nadhani, anguko la uchumi wa nchi nyingi miaka michache ijayo kwa jibu la BRICS, litabadili mifumo mingi na mitazamo mingi.
Huenda pia likapelekea nchi nyingi kuzaliwa Toka mataifa makubwa.
Naomben kuuliza, je tatizo Nini Hadi mifumo igongane?
Hakuna Sheria ziongozazo kiongozi akienda tofauti na uhalisia aelekezwe vipi ili arudi katika uhalisia?
Katika ulimwengu wa mafanikio,hapaangaliwi rangi,elimu wala dini,Bali ni jinsi gani unapanga na kufuata njia ya maendeleo.
Nadhani anachojaribu kuongea ni kuonekana katika ulimwengu wa ajira.
Paskali,binadamu anapitia mabadiliko mengi.
Hapatatokea usawa hata siku moja Bali ubadilushaji wa kazi Kwa mda Fulani,mfano kumiliki Mali/kazi ama kutomiliki.
Sijui kama watu wanafikiri haki ya mama kumiliki mtoto/ ukoo ili kumdhurum Baba mbegu aliyotoa ili kupata mtoto huyo.
Naona hata...
Yawezakuwa anajua ama hajui madhara yake.
Inanikumbusha miaka ya nyuma baadhi ya watu walipohoji uhalali wa kuchinja wanyama Kwa chakula,ni Kwa nini iwe dini moja.
Nadhani lilitokea Mwanza na kupelekea uharibifu Buseresere/katoro.
Kulilazimika kutumika hekima kubwa ili kurudisha jamii katika...
Nadhani vita hii itatanua sana mipaka ya Israel Kwa kurejerea mipaka halisi ya Canan kama ilivyoandikwa katika kitabu Cha hesabu 34 kwenye biblia Kwa waiaminio.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.