Recent content by hipac

  1. H

    Ni kama saccos ila sio saccos

    Ni wazo zuri mkuu na kama ukipata vijana kuanzia watano its ok mwaweza anzisha a company ila msiwe risk analyzers sana maana mnaweza mkashindwa kufanya chochote. Mimi nilishakua na hilo wazo na nimewatafuta watu ambao naxifahamu tabia zao nikaongea nao tukakubaliana kila mtu awe na share yake na...
  2. H

    Naomba kuuliza

    1. Mitihani ya kidato cha sita ( school and private candidates_) inaanza trh 3/5/2016. Kwa uhakika tembelea web ya necta washaiweka ratiba unaweza kudownload na kuipitia kwa makini pia ucheck na grade mpya uzijue. 2. Hilo la jkt hadi sasa linazungumzwa kimazoea tu ila tamko halijatoka coz...
  3. H

    First year wote wa 2015/2016 UDOM tukutane hapa

    welcome at the home of planners, it is called Project Planning, Management and Community Development (PPM&CD) im a second yrs student parsue that program
  4. H

    Msaada kwa mwenye video hizi................

    Naomba mnisaidie kupata video za tamthiliya hizi hapa: Kiswahili: 1. Orodha 2.ngoswe penzi kitovu cha uzembe 3. Kilio chetu kiingereza. 1. This time tomorrow 2the black hermit 3. Three suitors one husband naomba msaada wa sehemu zinakopatikana,
  5. H

    Tamthiliya za o-level (videos clips)

    Naomba msaada wenu wadau naweza kuzipata wap cd za video za tamthiliya za kiingereza na kiswahil kwa o-level ? kwa list hii hapa: za kiingereza: 1. This Time Tomorrow 2. The Black Hermit. 3. Three Suitors One Husband Za Kiswahil: 1. Ngoswe: Penzi Kitovu cha Uzembe 2. Orodha 3. Kilio chetu...
  6. H

    Shule ipi ya A-level yenye ada nafuu?

    Nenda Ocean High School- Mtwara Mjini Ada Haizd Lak 4 Day, 7 Boardng, Mchanganyko
  7. H

    Kama hujaona taarifa zako za mkopo niulize nikusaidie

    S4100/0013/2011 na S4100/0021/2011 Nisaidie mkuu.
  8. H

    Kama hujaona taarifa zako za mkopo niulize nikusaidie

    Pole kwa kaz kaka nisaidie kujua hatma ya huyu mtu S3478/0066/2011
  9. H

    Kama hujaona taarifa zako za mkopo niulize nikusaidie

    Niangalizie na hii tafadhar S3478/0066/2011
  10. H

    Kama hujaona taarifa zako za mkopo niulize nikusaidie

    NISAIDIE TAFADHAL s1491/0099/2011
  11. H

    Tuition fees UDOM

    Je, kama hujalipa kias unachotakiwa kulipa kwa ajil ya tuition fee unaweza kuwa registrated na mwisho wa kulipa n muda gan? Mwenye uelewa na hil.
  12. H

    Chuo Kikuu Dodoma, waliodahiliwa shahada ya kwanza 2014/15

    Niangalizie s4100/0013/2011(hassan seleman) project plan managment and commnty dvt
  13. H

    Selection UDSM 2014/2015

    niangalizie S4100.0021.2011
Back
Top Bottom