Serikali inajichanganya katika hili! Ukifuatilia sababu za bei ya mafuta kupanda mojawapo ni mabadiliko ya sera za Kodi..!! Haya mabadiliko vyovyote iwavyo vile yatamwathiri mlaji wa mwisho!!
Hayo maelezo ndio mchakato mzima wa kuchakata mafuta ya mbegumbegu, nyongeza ni kuwa huwa yanachemshwa ku-inactivate enzymes na kufanyiwa deodorization kuondoa harufu mbaya!!
Hiyo inaitwa rancidity ni matokea ya kuyaanika mafuta juani ambapo kuna chemical reaction inayotokea kati ya hayo mafuta, mwanga wa jua na hewa ya oksijeni!!
Pole sana.
Mtoto kwa mama hakui, ila nakushauri punguza mazoea, ukaribu uliopitiliza na Mama yako.
Imeandikwa mtu atamuacha baba na Mama yake.... (Acha kufuatana na wazazi wako kila wakati, wakutembelee na waondoke kama wageni wengine..)
Chumba chako funga na jaribu kumueleza Mama yako mipaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.