Recent content by hillongajonas

  1. hillongajonas

    Mtu anapomtukana mwenzake anafaidi nini?

    Watu wa aina hiyo mi huwa sishindani nao maana mdomo wangu si wakutoa maneno machafu.
  2. hillongajonas

    Hivi wapiga kura wapya wataandikishwa lini?

    Mwaka huu uchaguzi upo wa serikali za mitaa
  3. hillongajonas

    Mara ya mwisho kupima uzito ulikuwa na kilo ngapi?

    Hadi hapa nilipofikia namshukuru sana Allah ilikuwa ni hatari kabla ya mwezi Ramadan
  4. hillongajonas

    Mara ya mwisho kupima uzito ulikuwa na kilo ngapi?

    115 nashukuru huu mwezi mtukufu umenifanya nipungue uzito
  5. hillongajonas

    Nashindwa kumsamehe huyu mpenzi wangu

    Huyo ma mkwe siyo pasua kichwa tu, ni kichomi kabisa.Ameshakuulia mtoto bado unaremba remba jichanganye oa huyo binti yake utacheka kama chizi aliyeona jalala jipya.
  6. hillongajonas

    Wakuu tatizo langu la meno liko complicated nataka ushauri wenu

    [emoji23][emoji23][emoji23] mbona mgonjwa mkali hivi?
  7. hillongajonas

    Kinana: Wasimamizi wa Uchaguzi watakuwa Waadilifu na Waaminifu mnataka nini tena?

    Huo uadilifu huo[emoji23][emoji23][emoji23] ina maana watoto wake hawaja muambia kilichotokea leo Arusha(Elerai) halafu ni wenyewe kwa wenyewe maana hakukuwa na chama kingine.
  8. hillongajonas

    Naomba kuelekezwa dawa ya kutuliza maumivu ya jino

    Duuh! mkuu dawa ninayo kweli ila kukufikia ndiyo shughuli.
  9. hillongajonas

    Naomba kuelekezwa dawa ya kutuliza maumivu ya jino

    Samahani mkuu wewe upo mkoa gani?Na hilo jino limetoboka? Dawa ipo ila sema hiyo dawa nilipewa na bibi fulani na yenyewe ni ya unga.Mimi la kwangu ilikuwa ni ya kung'oa ila tangu nimetumia hii dawa haliumi tena mwaka wapili sasa hivi
  10. hillongajonas

    Zanzibar: Wamaasai wapambana na polisi waliotaka kuwapora rungu na sime zao

    [emoji23][emoji23] Walijifanya wanyonge kwanza wanavutwa vutwa mwisho wakaonyesha rangi yao halisi.Nimecheka wallah
  11. hillongajonas

    Nimegundua Mwanamke wangu anajiuza

    Kwahiyo yule mtoto wa kigogo aliyepata kazi huko nje ya nchi ndiyo anajiuza?
  12. hillongajonas

    Nipeni ushauri: Haya mahusiano na mtoto wa kigogo yananitesa

    Hii movie inaitwaje kama vile nimeielewa kimtindo
Back
Top Bottom