Huyo ma mkwe siyo pasua kichwa tu, ni kichomi kabisa.Ameshakuulia mtoto bado unaremba remba jichanganye oa huyo binti yake utacheka kama chizi aliyeona jalala jipya.
Huo uadilifu huo[emoji23][emoji23][emoji23] ina maana watoto wake hawaja muambia kilichotokea leo Arusha(Elerai) halafu ni wenyewe kwa wenyewe maana hakukuwa na chama kingine.
Samahani mkuu wewe upo mkoa gani?Na hilo jino limetoboka? Dawa ipo ila sema hiyo dawa nilipewa na bibi fulani na yenyewe ni ya unga.Mimi la kwangu ilikuwa ni ya kung'oa ila tangu nimetumia hii dawa haliumi tena mwaka wapili sasa hivi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.