Recent content by Hilal Mjuni

  1. H

    Nahitaji ps2 zinazocheza flash nipo Arusha

    Ps2 mbili zinazocheza flash Arusha
  2. H

    What are qualifications required to join Law school

    Habari zenu, ningependa kujua ni vigezo gani vinazingatiwa kabla ya kujiunga na law school. Ahsanteni
  3. H

    Hv sasa tuna apply mkopo au vyuo?

    Slip ya form six sio lazima, form za mkopo mjaze kwa uangalifu na umakini mkubwa
  4. H

    Unlocking iphone 4s

    Asante sana payment zinafanyika vipi maana nimesha jua imelockiwa na AT&T?
  5. H

    Quid Pro Quo, Maana yake Halisi

    Mimi kwa uelewa wangu hio phrase inamaanisha wakati mkataba unapofanywa lazima "consideration" iwepo, yaani lazima pande zote mbili zibadilishane bidhaa, huduma n.k
  6. H

    Unlocking iphone 4s

    Habari ndugu na jamaa nina iphone 4s tatizo langu ni kwamba hio simu ilifanyiwa jailbreaking na mimi nikai update ios kufikia 7.1 na sasa ikiwaka inataka kuactivate lakini inadai sim not valid kwa anaejua solution aniambie na gharama. Thanks to all
  7. H

    Msaada

    Wadau Mnaosoma sheria au mliowahi kusoma sheria nimekumbana na swali ambalo nahitaji msaada wenu "when offer is made by e-mail when is it considered to be a valid OFFER "Kwa maana nyingine ni mpaka imfikie aliyetumiwa au aisome?
  8. H

    Ushauri kwa waliochaguliwa UDOM

    Hivyo ni suti za kutosha???
  9. H

    Ushauri kwa waliochaguliwa UDOM

    Napenda kufahamu kama kuna dressing code mfano LL,B (Bachelor of Law) Natanguliza shukrani
  10. H

    Je umechaguliwa course ya ndoto yako?

    Ndoto yangu ilianza nikiwa form II na sasa inatimia Bachelor of Law
Back
Top Bottom