Mimi kwa uelewa wangu hio phrase inamaanisha wakati mkataba unapofanywa lazima "consideration" iwepo, yaani lazima pande zote mbili zibadilishane bidhaa, huduma n.k
Habari ndugu na jamaa nina iphone 4s tatizo langu ni kwamba hio simu ilifanyiwa jailbreaking na mimi nikai update ios kufikia 7.1 na sasa ikiwaka inataka kuactivate lakini inadai sim not valid kwa anaejua solution aniambie na gharama. Thanks to all
Wadau Mnaosoma sheria au mliowahi kusoma sheria nimekumbana na swali ambalo nahitaji msaada wenu "when offer is made by e-mail when is it considered to be a valid OFFER "Kwa maana nyingine ni mpaka imfikie aliyetumiwa au aisome?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.