Recent content by HiDEmYiD

  1. HiDEmYiD

    JamiiForums Tanzania Nimefukuzwa kwenye sherehe ya kipaimara kisa mimi ni muislamu

    Kweli nyani haoni kundule kwenye issue ya ubaguzi waislamu mufunge mabakuli yenu.
  2. HiDEmYiD

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Dear Baby, Ukiniomba tu hela basi mimi na wewe tumemalizana..!!!

    Kuna demu tumegombana kama week mbili jana nimeamka nakuta mis call kama zote......kumpigia piga story akaanza utapeli wa amenimic mara anipigie video call....badae katikati ya story akanichomekea kirungu....nikacheka nikamwambia hiyo pesa ninayo lakini sikupi akajichekesha akakata simu...
  3. HiDEmYiD

    JamiiForums Tanzania Polisi kuomba hela ya posho ya Askari toka kwa ndugu wa mgonjwa ni unyonyaji, ni ukatili

    Huo ndio utaratibu unataka polisi wakale wapi ......yahn humtoe mtu katavi halafu usimlipe wewe mwenywe ukitumwa kazi mkoani unataka posho. Hata kama polisi ni wababaishaji ila sio kama ivyo
  4. HiDEmYiD

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kupata tunda ni akili tu

    Ujinga mtupu
  5. HiDEmYiD

    JamiiForums Tanzania Tahadhari Kwa Watanzania: Kinachoendelea Kenya ni muendelezo wa Kushindwa Kwa sera za kilaghai za Wapinzani.

    We jamaa bila shaka upo kwenye kundi la waramba asali
  6. HiDEmYiD

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Huyu mwanamke nimtafute tena au nibwage?

    Gongo la mboto imekujaje hapa.
  7. HiDEmYiD

    JamiiForums Tanzania Mataifa 10 tajiri sana duniani kwa mwaka 2024.

    Heading mataifa kumi halafu ujumbe ni mataifa matano.
  8. HiDEmYiD

    JamiiForums Tanzania Masoud Kipanya kuongea na Waandishi wa Habari

    Kama anaongea kuhusu mwijaku basi ana hekima sana
  9. HiDEmYiD

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanaume Black🥰🥰🥰

    Hii ndio haitoboi mwaka.
  10. HiDEmYiD

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Demu wangu ananinyima sana tunda

    Dogo hupendwi.
  11. HiDEmYiD

    JamiiForums Tanzania Treni ya Umeme yatumia dakika 114 Dar hadi Morogoro, Wananchi 600 wasafiri

    Bado gharama za mizigo
  12. HiDEmYiD

    JamiiForums Tanzania TRC, Chukueni Ushauri Huu na Wenye Mabasi someni hapa

    Haya sasa muda wa maafisa masoko na ushauri wa trc kumwaga nondo.
  13. HiDEmYiD

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Muonekano wangu unanitesa mahusiano yangu hayadumu

    Mwanzo nilivyosoma nikajua ni demu kumbe ni dume jike.
Back
Top Bottom