Kuna demu tumegombana kama week mbili jana nimeamka nakuta mis call kama zote......kumpigia piga story akaanza utapeli wa amenimic mara anipigie video call....badae katikati ya story akanichomekea kirungu....nikacheka nikamwambia hiyo pesa ninayo lakini sikupi akajichekesha akakata simu...
Huo ndio utaratibu unataka polisi wakale wapi ......yahn humtoe mtu katavi halafu usimlipe wewe mwenywe ukitumwa kazi mkoani unataka posho.
Hata kama polisi ni wababaishaji ila sio kama ivyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.