Recent content by HiDEmYiD

  1. HiDEmYiD

    Nimefukuzwa kwenye sherehe ya kipaimara kisa mimi ni muislamu

    Kweli nyani haoni kundule kwenye issue ya ubaguzi waislamu mufunge mabakuli yenu.
  2. HiDEmYiD

    Dear Baby, Ukiniomba tu hela basi mimi na wewe tumemalizana..!!!

    Kuna demu tumegombana kama week mbili jana nimeamka nakuta mis call kama zote......kumpigia piga story akaanza utapeli wa amenimic mara anipigie video call....badae katikati ya story akanichomekea kirungu....nikacheka nikamwambia hiyo pesa ninayo lakini sikupi akajichekesha akakata simu...
  3. HiDEmYiD

    Polisi kuomba hela ya posho ya Askari toka kwa ndugu wa mgonjwa ni unyonyaji, ni ukatili

    Huo ndio utaratibu unataka polisi wakale wapi ......yahn humtoe mtu katavi halafu usimlipe wewe mwenywe ukitumwa kazi mkoani unataka posho. Hata kama polisi ni wababaishaji ila sio kama ivyo
  4. HiDEmYiD

    Kupata tunda ni akili tu

    Ujinga mtupu
  5. HiDEmYiD

    Huyu mwanamke nimtafute tena au nibwage?

    Gongo la mboto imekujaje hapa.
  6. HiDEmYiD

    Mataifa 10 tajiri sana duniani kwa mwaka 2024.

    Heading mataifa kumi halafu ujumbe ni mataifa matano.
  7. HiDEmYiD

    Masoud Kipanya kuongea na Waandishi wa Habari

    Kama anaongea kuhusu mwijaku basi ana hekima sana
  8. HiDEmYiD

    Mwanaume Black🥰🥰🥰

    Hii ndio haitoboi mwaka.
  9. HiDEmYiD

    Demu wangu ananinyima sana tunda

    Dogo hupendwi.
  10. HiDEmYiD

    TRC, Chukueni Ushauri Huu na Wenye Mabasi someni hapa

    Haya sasa muda wa maafisa masoko na ushauri wa trc kumwaga nondo.
  11. HiDEmYiD

    Muonekano wangu unanitesa mahusiano yangu hayadumu

    Mwanzo nilivyosoma nikajua ni demu kumbe ni dume jike.
Back
Top Bottom