Recent content by Hida

  1. H

    GE2010 Mdahalo wa Dr Slaa Movenpick LIVE

    Mdahalo umefanyika na DR kama ningekuwa judge ningempa 90%. Amejibu maswali vizuri sana na ametangaza sera za chadema kwa utulivu bila jazba. Mungu tunakushukuru kwa uliofanya na tunaomba uendelee kuwa nasi katika siku zilizosalia. watanzania mmemsikia Dr akielezea namna atakavyotekeleza ahadi...
  2. H

    GE2010 Kwa Mh Mengi na ITV (IPP MEDIA)

    Yap nampa big up Mengi,Lakini aache kuhubiri kuwa uchaguzi una udini kwenye graduation alioalikwa atoe nasaha,anaanza kufanya kazi ya Kiravu na wengine.Haya mambo ya udini yanakuzwa na wanasiasa na watu kama yeye na yazidi kurudiwarudiwa ili hatimaye baada ya uchaguzi muanze kusema udini...
  3. H

    GE2010 Kikwete kufanya mdahalo Ijumaa, aweza kutangaza hali ya hatari Jumapili?

    Hiyo habari mbona haieleweki.yaani atafanya mdahalo baada ya wananchi kutoa maamuzi ili isaidie nini.Nani kakupa hizo habari?tuhabarishe tusio nataarifa
  4. H

    Msaada ku unlock modem ya sasatel

    Sasatel are using CDMA technology, The other company using CDMA technology are TTCL and Zantel only other are using GSM 3G technology.I advice you to look CDMA chip and try to insert in to your moderm if will not work there must be locking technology applied .
  5. H

    NMB datbase ina walakini

    Ninachojua server za NMB za ATM ni tofauti na zile za ndani, ndio maana ukitaka hela zaidi ya milion moja wanakulazimisha kwanza uanze kwenye ATM mpaka ukose fursa tena ya kuchukua ndio uende ndani. hii inatokana na kuwa server ni tofauti na media ilioziunganisha haina speed ki hivyo zinachelewa...
  6. H

    Dr. Slaa in Tunduma (photo)

    Ni balaa, Juzi nilipita maeneo hayo nikielekea vijiji vya sumbawanga wimbo pekee uliokuwa unasikika ni slaa slaa Dr :decision:
Back
Top Bottom