Tatizo hukai Tanga na kama uko Tanga bs unaishi Lushoto. Changia kitu ulichokuwa na uhakika nacho.
Jammaa hata jina jana watu wamembadilisha wanamwita Juma Nyosso.
Microsoft ni kiboko yao hakuna apple wala nani. Juzi wametoa device zao kama lumia 950/950xl simu na 550, hololens, band 2, surface book na pro 4.
Labda kwa wajuzi watatuelezi jinsi microsoft walivyoendelea hapo.
Kwani kuumwa ni kufa na kwenda kwa daktari ni tatizo ? Mbona watz tunakuwa wapuuzi kiasi kwamba hata thamani ya utu haijulikani !!!
Kwahiyo mtoa mada unataka tukusaidie nini labda kwa huo upuuzi wako..?
Leo sisiemu inaenda kufa maana mpk sasa sa 5 uwanja umeshajaaa sijui ikifika sa 8 njia zitafungwa.
Tanga ni ccm na ccm ni Tanga huu msemo leo unazikwa rasmi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.