SHIEKA
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 8,240
- 4,278
Hivi ndivyo ninavyofikiria: Siku kumi kabla ya uchaguzi mkuu.Mtandao mpya wa simu unazinduliwa. Watanzania wengi wanailalamikia sana mitandao iliyopo; Voda, Tigo, Airtel n.k. Wapo wengi watakaopenda kujiunga na mtandao mpya: Halotel.
Ukinunua line ya mtandao lazima ujiandikishe. Katika kujiandikisha wapaswa kutoa kitambulisho. Mojawapo ya kitambulisho kinachokubalika ni kile cha kupigia kura. Kwa hiyo mteja mpya wa mtandao atatoa kitambulisho chake cha kupigia kura. Na uchaguzi ni siku kumi au tisa baada ya kununua line mpya. Konekti dots hapo.
Naomba kama unataka kununua line ya mtandao wowote, fanya hivyo baada ya uchaguzi.
Wapo watakaonielewa sana na wapo watakaotoka kapa kwenye thread hii.
Ukinunua line ya mtandao lazima ujiandikishe. Katika kujiandikisha wapaswa kutoa kitambulisho. Mojawapo ya kitambulisho kinachokubalika ni kile cha kupigia kura. Kwa hiyo mteja mpya wa mtandao atatoa kitambulisho chake cha kupigia kura. Na uchaguzi ni siku kumi au tisa baada ya kununua line mpya. Konekti dots hapo.
Naomba kama unataka kununua line ya mtandao wowote, fanya hivyo baada ya uchaguzi.
Wapo watakaonielewa sana na wapo watakaotoka kapa kwenye thread hii.