Naomba mwongozo katika kuanzisha biashara ya spare za magari kama option no. 1 n.a. option no 2 ninayoifikiria ni biashara ya construction Hardware 3. Biashara ya kilimo. Naomba ushauri nipewe na changamoto zake , risk zake n.a. dada zake n.a. namna ambavyo hasira inaweza kupokea.
UCD Ni sahihi kuwa gari ni kielelezo cha kosa hebu rejea hoja yangu hapo juu na kama una taaluma ya sheria pia ni vyema ukairejea sheria husika utusaidie ili tupate elimu wote.
Wadau ,
kuna jambo ambalo binafsi silielewi, mmiliki wa gari amemkodisha mtu ambae katika hoja yangu nitamwita Dereva kwa mkataba uliosainiwa kisheria na kuainisha haki za Dereva na Haki za mmiliki na wajibu wa Dereva na Wajibu wa mmiliki.
Sasa inakuwaje unakuta Dereva amefanya makosa kwa...
OOOhh God !!! Jamani Mungu amponye Lisu, nashauri kutokana na watu kupigwa sana through mitandao, kama hili la kuchangia ni kweli tunaomba tutangaziwe officialy na Chama kupitia vyombo vyakuaminika ili tuchangie, otherwise hii itatumika vibaya.
Mheshimiwa EDO NGOYAI LOWASA mzee wa maamuzi magumu, nakupa BIG UP MZEEEE WE JEMBE MZEEEEE INGIA UKAWA NA sisi wote tunatia TIMU hukohuko na SASA ni safari YA UHAKIKA NA SI MATUMAINI TENA ....MWALIMU ALISEMA TUSIPOPATA DIRA YA KWELI NDANI YA CCM TUTAITAFUTA NJE YA CCM na AKAONGEZA CCM SIYO BABA...
Mheshimiwa EDO NGOYAI LOWASA mzee wa maamuzi magumu, nakupa BIG UP MZEEEE WE JEMBE MZEEEEE INGIA UKAWA NA sisi wote tunatia TIMU hukohuko na SASA ni safari YA UHAKIKA NA SI MATUMAINI TENA ....MWALIMU ALISEMA TUSIPOPATA DIRA YA KWELI NDANI YA CCM TUTAITAFUTA NJE YA CCM na AKAONGEZA CCM SIYO BABA...
Na hili lifoleni linalonitesa hivi sasa for more than two hrs sijatoka posta ni CDM wanahisika 😄😄 kweli mtu akiishiwa mawazo anaweza kuandika chochote... No vyema ukaisaidia serekali mawazo wakutatua changamoto kuliko kuhangaika Na CDM, CDM wanahusikaje Na mambo haya??
Pole sana hata mimi nilikuwa na changamoto kama yako lakini nilikomaa na nikapiga kura. Yatupasa kuiondoa serekali hii madarakani sasa tukumbuke mazingira haya magumu ya upigaji kura yamewekwa na serekali hii sasa usipopiga kura utaingoaje?
Hii ni aibu sana ina maana Jeshi letu la Polisi limeshindwa kudhibiti wahalifu hawa wa panya road mpaka tunatumia makomandoo!!! No way hii ni miss using of military resources.... kuna hoja yakujibiwa na wizara husika hapa, hawa vijana walipaswa wakamatwe wapelekwe mahakamani wahukumiwe siyo...
Kuna usemi usemao **NO RESEARCH NO RIGHT TO SPEEK** Serikali ya Tz ni makini , kama viongozi wangekuwa vichwa panzi wangesema straight TELEXFREE ni matapeli, lakini kwakuwa serekali inajuwa gharama ya kuituhumu kampuni kubwa kama hii pasipo kuwa na ushahidi ni sawa na kutumbukiza taifa baharini...
WADAU...huwa najiuliza sana hivi zile kashkash na pirikapirika za vitambulisho iliishia wapi sipati jibu...
vilevile nimekuwa nikijiuliza ni kwanini tumekimbilia katika zoezi hilo kwa sasa hali kuna priorities kama barabara maji na umeme?...na kama kulikuwa na umuhimu mkubwa kwanini zoezi...
Imenishangaza sana kwa jinsi jiji lilivyosafishwa na kupendeza just for a week...hivi kwa nini haya yalikuwa hayafannyiki? Kitendo cha rais obama kusema nakuja dar...hakukuwa na tatizo la bajeti swala la usafi wa jiji na imewezekana ....au hizo fedha jamani zimetolewa na ubalozi wa marekani?
Watanzania wenzangu,wito wangu ni kwamba vurugu za mtwara zisipuuzwe, upelelezi yakinifu ufanyike na wote waliohusika katika vurugu wafikishwe mahakamani, sipendelei sana kuhusisha vyama au dini fulani katika mambo haya kwasababu hayo huongeza chuki ambayo siyo utamaduni wa watanzania...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.