Imenishangaza sana kwa jinsi jiji lilivyosafishwa na kupendeza just for a week...hivi kwa nini haya yalikuwa hayafannyiki? Kitendo cha rais obama kusema nakuja dar...hakukuwa na tatizo la bajeti swala la usafi wa jiji na imewezekana ....au hizo fedha jamani zimetolewa na ubalozi wa marekani?