Recent content by hhhhj

  1. hhhhj

    Taarifa ya CHADEMA Kuhusu Sintofahamu ya Ben Saanane, Miili saba na Faru John

    Kama msaidizi wa mwenyekiti kapotea katangazwa baada ya wiki nne he mwanachama wa kawaida siitapita mwaka
  2. hhhhj

    Dr.Mwakyembe jinai huwa inakufa?

    Mie nasubiri mjee muuite mahakama katili
  3. hhhhj

    Taarifa ya CHADEMA Kuhusu Sintofahamu ya Ben Saanane, Miili saba na Faru John

    Kama usinge anza na ule utangulizi pale juu Uzi huu ungefutwa
  4. hhhhj

    Ndalichako wewe profesa bwana

    NDALICHAKO WEWE NI PROFESA BWANA Hebu kaa tafakari hivi kodi iliyokuwa ikiwasomesha imeenda bure?.... Hebu tafakar mlipo kuwa mnasomesha mlitegemea wakimaliza wakachome mahindi?.... Njoo na takwimu wangapi wapo kazini,masomoni na idadi ya wanafunzi iliyopo na uwiano baina ya mwalimu na...
  5. hhhhj

    CCM yaiga mikakati ya CHADEMA

    Nikionyeshwa hizo kadi za kielectronia za chadema natembea uchi.... Ccm WAMEKATA FUNUA
  6. hhhhj

    Ujumbe kwa walimu wote

    Hakuna anayepinga sekta ya elimu nimoja ya sekta muhimu sana ila ajabu nipale sekta hii kukosa ule mvuto nakukosa hadhi hasa upande wa umma. Haiingii akilini wamachinga wapige kelele kidogo tu mkuu wa nchi aingilie kati kwa kuwakingia kifua kwa kisingizio hao ndiyo waliompa kura. NYINYI WALIMU...
  7. hhhhj

    MFUMO WA ELIMU TANZANIA....

    Nianze na hili la mfumo wetu wa elimu maana kama tukiliacha liendelee hivi ni matarajio yangu hakuna kipya tutakacho kitarajia katika elimu..... Mfumo wetu wa elimu upoje? Kwanza mfumo wa elimu ni utaratibu unaowekwa ili kufikia malengo na dira ya elimu katika eneohusika.... Mfumo wetu wa elimu...
  8. hhhhj

    Tushirikishane 'Apps' nzuri za simu za Android

    Wadau naomba kuiliza nikitaka niangalie move za mobdro kupitia tv ya kawaida ninikinahitajika
  9. hhhhj

    Maamuzi ya Prof Ndalichako yanashangaza

    MH.NDALICHAKO HII SIYO NECTA Kwa kipindi cha miaka tisa alifanyakazi ya katibu baraza la mitihani japo marachache nyuma alioneka akifanya masuala ya utafiti na shirika la elimu la aghakhan.Siukatai uwezo wake mkubwa kipindi hicho cha nyuma ingawa amepata bahati baada ya kutoka masomoni anakutana...
  10. hhhhj

    Kila mtu ana 'time zone'

    Mji wa New York uko masaa 3 mbele ya mji wa California lakini haimaanishi kuwa California ni mji ambao uko slow wala New York sio kwamba uko fast miji yote inaishi kwa kutegemea TIME ZONE. Kuna mtu mpaka sasa yuko single na mwingine alioa mapema tuu na kusubiri miaka 10 kupata mtoto na yupo...
  11. hhhhj

    Natambulisha Live Online Tv kwenu

    Umetoa chelsea tv vipi
  12. hhhhj

    Tathimini fupi tu ya "elimu bure"

    Mwanzoni mwa mwaka huu baada tu ya raisi JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI kuapishwa kuwa raisi alitangaza rasmi azma yake ya elimu bure kama alivyoahidi kupitia ilani ya chama cha mapinduzi katika kampeni zake za uchaguzi.... Ifahamike kuwa kwa kipindi hiki alikuwa hana waziri hata mmoja bali...
Back
Top Bottom