Watu wanaziuza kwa sonara nasikia it simz madini yaliyotumika kuitengeneza ni xpensive zaidi ya iyo thaman yake ya 500.
Sonara hutumia kutengeneza Vito vingne
Mifuko yote now days wanatoa penshen sawa wanapishana mafao ya hapa katkat...
Na gepf waweza changia voluntary wakat una mfuko mwngne...
Ila hii mifuko kwa sheria ya sasa ivi haina tofauti...
Yote iko sawa tu ila NSSF anamafao mengi kuliko hao wengne wote...
Ila hamna utakacho loose uki chagua...
Point ni less productivity...
We are not producing at all...
Kila kitu tuna import nenda kkoo utaona hata mdoli kawa imported toka nje then kuna miujiza gan ya TSHS kupanda thaman?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.