Recent content by HHD

  1. H

    ACCA tuition provider

    FTC ipo osman tower opposite na Elia complex kisutu
  2. H

    BOT na Kashfa ya kuuzwa kwa sarafu ya mia tano /Tsh 500

    Watu wanaziuza kwa sonara nasikia it simz madini yaliyotumika kuitengeneza ni xpensive zaidi ya iyo thaman yake ya 500. Sonara hutumia kutengeneza Vito vingne
  3. H

    Msaada: Action movie

    cheki extratorrent.cc then search movie unayoitaka
  4. H

    Huyu ndiye Mtanzania asiye maarufu lakini heshima yake Duniani Hayati JK Nyerere akasome

    Mtoa mada umuulize EDDIE MURPHY atakua taarfa zake zote huyo mnyakyusa AMBILIKILE
  5. H

    Naomba mnijuze kuhusu PSPF

    Mifuko yote now days wanatoa penshen sawa wanapishana mafao ya hapa katkat... Na gepf waweza changia voluntary wakat una mfuko mwngne... Ila hii mifuko kwa sheria ya sasa ivi haina tofauti... Yote iko sawa tu ila NSSF anamafao mengi kuliko hao wengne wote... Ila hamna utakacho loose uki chagua...
  6. H

    Ni sababu gani zinazochangia kushuka kwa Shilingi yetu na Dola kuwa juu?

    Point ni less productivity... We are not producing at all... Kila kitu tuna import nenda kkoo utaona hata mdoli kawa imported toka nje then kuna miujiza gan ya TSHS kupanda thaman?
  7. H

    Ahsante whatsapp+ v1.88

    Ukitumia whatsapp+ ukirud kwa whatsap ya kawaida unafungiwa kutumia whatsapp kwa masaa 48
Back
Top Bottom