Niliongea naye kadai kuwa mtu ambaye hajalipwa mshahara sio ww tu na lingine alisema yy anaruhusiwa kutoa ruhusa ya siku mbili tu ndo maana nataka niamue kwa mawazo yangu nistop kwenda kazini kwa muda hata bila taarifa rasmi.
Kwa kuanza kabisa Mimi ni mwalimu wa primary ajira mpya kwa hii intake ya Desemba!
Nakiri wazi kuwa tangu nimalize chuo mwaka 2016 ndo nimebahatika kupata ajira mwaka jana lakini Hali yangu kimwili, na kiakili kwa Sasa haijakaa sawa kutokana na changamoto ninazopitia.
Kwanza naomba niweke wazi...
Habari za leo wana JamiiForums!
Kwanza nianze kwa kusema sisi ambao kula yetu inategemea internet tumekuwa wahanga Sana wa unyonyaji unaofanywa na mitandao ya simu , binafsi nitajikita kwenye mtandao wa Airtel maana ndo nilikoshuhudia kwa macho yangu na ushahidi ninao
Mchezo ulikuwa hivi ...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.