Kuna mgogoro WA kikatiba hapo, tujiulize swali hili kama uchaguzi zanzibar haukuwa WA huru na haki na kupelekea kufutwa kwa uchaguzi na matokeo yake. inakuwaje kura za jamhuri ya muungano kutoka zanzibar kuwa in harali hali wakala WA NEC zanzibar yaan zec wamekiri uchaguzi Huo ni batili.tuache...
Mleta mada sikakuelewa. Magufuri kwenye hotuba zake anasema anashangaa Huduma kuwa za afya.elimu.miundombinu.maji nk. Kuwa mbovu na anakiri wazi watanzania wanahtaji mabadiliko ya dhati ya maendeleo Leo unasema tu hovyohovyo. Je shilingi kushuka thamani na madhara yake Nayo ni maendeleo?
Watu walikuja kucheki shoo ya diamond. Wakapewa na kanga na vitambaa. Nani kawaambia ccm kuwa watu wanaitaji burudani. Mi nasema watu wanahitaji utendaji WA kutatua matatizo yao. watu walikuja kucheki shoo ya diamond.
Baada ya mambo kuharibika mbona ccm mmeacha kumtambulisha magufuri mikoani ikakomea mikoa michache tu na misheni ikayeyuka baada ya NEC kuwapa soma bado wakati WA kampeni. Mleteni arusha.
Kwa miaka mingi hiyo usalama WA taiga usiwe ma Maelezo ya wapi lowasa kapata Mali, intelligencia ya nchi itakuwa useless.kwa miaka hiyo hamkumshtaki wanasheria WA serikali no useless. Jk alitumia fedha nyingi kupata urais Leo lowasa kutumia fedha imekuwa tatizo.? Think beyond ccm sio chama cha...
Nipo geita wtu wlikuwa wengi sana na sio utani. Habari ya kweli nyingine ni kuwa baadhi ya wafuasi WA ccm kutoka vijijini walitelekezwa Jana na kulazimika kulala jumba la abiria stendi geita na wengine madarasani bila kupewa Huduma muhimu kama maji na chakula
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.